Habari!
Spika wa Bunge aliyejiuzulu Kwa kusema Nchi itapigwa mnada Kwa sababu ya Madeni,amewataka Wananchi na Wanasiasa na jamii kiujumla kutumiza Wajibu wao Kila mtu Kwa nafasi yake ndio Wahoji Wajibu wa Serikali kwao.
Ndugai ametoa angalizo Hilo huku Vyama vya upinzani vikijiandaa Kwa Mikutani ya Hadhara Wikendi hii na vinatarajia Kuhoji mambo mbalimbali ya utendaji wa Serikali..
Swali,Je Ndugai kaona nini? Kwa nini atoe angalizo Hilo Sasa?