Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Mh. Ndugai tumesikia ukisema Lissu ana madeni mengi na kwamba akija atayakuta yanamsubiri. Ni vema kwamba umeamua kumtangaza manusura wa kifo au mauaji.
Sasa sisi Watanzania ni watu wenye huruma na upendo hatupendi kuona mtu anapata tabu wakati tunaweza kumsaidia.
Kama tulivyowachangia viongozi wa Chadema waliopigwa mamilioni ya hela kutumia usanii wa kisheria pia hatutashindwa kumchangia Lissu. Tuambie lisu anadaiwa kiasi gani tutachanga pamoja na shida zetu.
Lissu hakutaka kuuwawa tunajua asingepigwa risasi angelipa madeni hayo ila kwakuwa alikoswakoswa kuuwawa ndio maana alishindwa kulipa madeni hayo.
Mh ndugai tunaomba Deni lote la Lissu Mungu aliemponya na mauti atamsimamia katika mapito yake.
Lissu amini Watanzania wanakupenda sana, tena sana.
Sasa sisi Watanzania ni watu wenye huruma na upendo hatupendi kuona mtu anapata tabu wakati tunaweza kumsaidia.
Kama tulivyowachangia viongozi wa Chadema waliopigwa mamilioni ya hela kutumia usanii wa kisheria pia hatutashindwa kumchangia Lissu. Tuambie lisu anadaiwa kiasi gani tutachanga pamoja na shida zetu.
Lissu hakutaka kuuwawa tunajua asingepigwa risasi angelipa madeni hayo ila kwakuwa alikoswakoswa kuuwawa ndio maana alishindwa kulipa madeni hayo.
Mh ndugai tunaomba Deni lote la Lissu Mungu aliemponya na mauti atamsimamia katika mapito yake.
Lissu amini Watanzania wanakupenda sana, tena sana.