Ndoto za mapenzi

Ndoto za mapenzi

Rayd

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
278
Reaction score
67
Msaada tunaomba ushauri.

Wifi yangu anaota akifanya mapenzi kila siku na maumbile tofauti, leo kubwa kesho dogo, usiku wa leo kaota anado na mwanaume mpana sana hadi tumbo linauma kwa chini mpaka sasa.
 
Msaada Tunaomba Ushauri, Wifi Yangu Anaota Akifanya Mapenz Kila Siku Na Maumbile Tofaut, Leo Kubwa Kesho Dogo, Ucku Wa Leo Kaota Anado Na Mwanaume Mpana Sana Had Tumbo Linauma Kwa Chin Mpaka Sasa,

mmmmh! kwanza nataka kujua unaishi wapi? maana inaonekana mtaani kwenu ni mna matatizo makubwa sana.

kwenye jukwaa la jf doctor nakwenye una uzi unaofanana na huu.
Tyta simueliwi huyu mtu.
 
Last edited by a moderator:
Hilo ni tatzo tukija ktk mising ya imani kuna uwezekano mkubwa huyo ndugu yako atakua na majini hivyo fanyeni mpango apelekwe ktk maombi kanisani au mpeleke kwa Sheikh ili asomewe kisomo cha kuyaondoaa
 
mmmmh! kwanza nataka kujua unaishi wapi? maana inaonekana mtaani kwenu ni mna matatizo makubwa sana.

kwenye jukwaa la jf doctor nakwenye una uzi unaofanana na huu.
Tyta simueliwi huyu mtu.

Best Dunia Ina Mambo Mengi Na Yakiamua Kukuzunguka Yataka Moyo. Jf Dr Ni Mim Mwenyewe. M Niko Dar Wif Yngu Yuko Kagera.
 
Last edited by a moderator:
mapepo yanawaandama kemeeni kwa nguvu zote kwa imani pia
 
Dunia inamambo Jini mahaba huyo anakula uroda aisee hawa viumbe mpeleke sehemu husika
 
Hayo ni Majini.... Kwa kifupi kabisa anafanya mapenzi na majini. Sababu zinazoweza kuchangia hili ni kuwapo kwa mikataba aliyoweka yeye, wazazi au mumewe na shetani kuhusu maisha yake... Shetani anatuma majini kufanya naye mapenzi kwa sababu wifiyo amefanywa mke wake kutokana makubaliano waliyowekeana. Mwambie ajichunguze hasa kama alifanya au kufanyiwa matambiko, ni mshirikiana nikiwa na maana anaenda wa waganga wa kienyeji, aulize historia yake kwa wazazi kama walimpata kwa njia za kishirikina baada ya kutumia njia za halali bila mafanikio, kama alimpata kaka yako kwa ushirikina, achunguze biashara au kazi za mumewe ili apate uhakika na usalama wake kwa mumewe......Na mengine meeeeeeeeeeeeeengi ila jambo la msingi amlilie mungu amfunulie sababu ya mateso yake.
 
Anahitaji kusaliwa, na awexna imani.

Mara nyingi ni kwamba ni mumewe huyo, I guess hana bwana walioshikamana.

Vipindi vya maombi ndio naonaga wanawake wengi yakiwatokea.

Ni Mungu tu atamuokoa katika hili.
 
Hayo ni Majini.... Kwa kifupi kabisa anafanya mapenzi na majini. Sababu zinazoweza kuchangia hili ni kuwapo kwa mikataba aliyoweka yeye, wazazi au mumewe na shetani kuhusu maisha yake... Shetani anatuma majini kufanya naye mapenzi kwa sababu wifiyo amefanywa mke wake kutokana makubaliano waliyowekeana. Mwambie ajichunguze hasa kama alifanya au kufanyiwa matambiko, ni mshirikiana nikiwa na maana anaenda wa waganga wa kienyeji, aulize historia yake kwa wazazi kama walimpata kwa njia za kishirikina baada ya kutumia njia za halali bila mafanikio, kama alimpata kaka yako kwa ushirikina, achunguze biashara au kazi za mumewe ili apate uhakika na usalama wake kwa mumewe......Na mengine meeeeeeeeeeeeeengi ila jambo la msingi amlilie mungu amfunulie sababu ya mateso yake.

Kwa Swala La Mme Kwel Ndugu Inawezekana Mana Mumewe N Mfanya Biashara Wa Madin{gold} Na Mara Nying Akilalamika Kwa Mumewe Bas Mumewe Huwa Mkal. Umenifungua Macho Rafik, We N Nabii
 
Msaada tunaomba ushauri.

Wifi yangu anaota akifanya mapenzi kila siku na maumbile tofauti, leo kubwa kesho dogo, usiku wa leo kaota anado na mwanaume mpana sana hadi tumbo linauma kwa chini mpaka sasa.

Ana mapepo huyo inabidi akafanyiwe maombi haraka sana.
 
Kwa Swala La Mme Kwel Ndugu Inawezekana Mana Mumewe N Mfanya Biashara Wa Madin{gold} Na Mara Nying Akilalamika Kwa Mumewe Bas Mumewe Huwa Mkal. Umenifungua Macho Rafik, We N Nabii
Wafanyabiashara na wachimba madini ni wachawi waliokubuhu..... Mwambie ajifungue kwenye hicho kifungo mapema iwezekanavyo.... Amwombe na kumtumaini mungu kutokana na imani yake ili awe huru kwani akizidi kuchelewa kuna siku shetani atahitaji roho yake ndipo mtahudhuria msiba wa kutunga.... Msaidie saana kwani ana shida kubwa tena kubwa sana, naamini amekabidhiwa kama zawadi kwa shetani nae ndie mwenye mamlaka naye.... Too sad.
 
Back
Top Bottom