B bAbiLoN Member Jan 17, 2009 6 1 Jan 20, 2009 #1 Kichaa: Mi kila nikilala naota manyani yanacheza futbol Daktari: Hamna shida, ntakupa dawa uanze kutumia na kuanzuia leo hutaota tena. Kichaa: Aaa....! sa si bora nianze kutumia kesho maana leo ndo fainali.
Kichaa: Mi kila nikilala naota manyani yanacheza futbol Daktari: Hamna shida, ntakupa dawa uanze kutumia na kuanzuia leo hutaota tena. Kichaa: Aaa....! sa si bora nianze kutumia kesho maana leo ndo fainali.
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Mar 14, 2011 #2 hahahahahaha dah! Mbona kazi jamani,komaa kichaa wangu usianze dose leo
Z zayat JF-Expert Member Dec 29, 2010 337 42 Mar 14, 2011 #7 Majina ya timu na sisi tuwe washagiliaji