Ndoto za Kichaa...!

bAbiLoN

Member
Jan 17, 2009
6
1
Kichaa: Mi kila nikilala naota manyani yanacheza futbol
Daktari: Hamna shida, ntakupa dawa uanze kutumia na
kuanzuia leo hutaota tena.
Kichaa: Aaa....! sa si bora nianze kutumia kesho maana
leo ndo fainali.
 
hahahahahaha dah! Mbona kazi jamani,komaa kichaa wangu usianze dose leo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…