Ndoto yangu ni kumiliki Ford Ranger au Toyota ila kupitia kuajiriwa nishakata tamaa haiwezi tokea

Ndoto yangu ni kumiliki Ford Ranger au Toyota ila kupitia kuajiriwa nishakata tamaa haiwezi tokea

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,728
Reaction score
4,075
Kupitia kuajiriwa nimeshakata tamaa kumiliki gari la ndoto yangu kama Ford Ranger au Toyota Hilux, au hata zote kwa pamoja. Kwa mshahara ninaoupata, ndoto hiyo kwa kweli inaonekana haiwezekani kutimia.

Sijui nifanye nini. Hata kupitia madokezo, extra duty au per diem, bado naona haiwezi kutokea. Nimeshakata tamaa kabisa. Nikijitahidi sana labda nitaishia kumiliki Toyota IST au Toyota Raum kwa kusevu, na hata hapo itabidi nijibane sana.

Aisee, nimeshakata tamaa. Inaonekana nitaendelea tu kumiliki pikipiki hizi hizi kama TVS, SanLG au pikipiki nyingine za kichina.

Ila hizi za kijapani, mmmh ngachoka aisee.
 
C2A61D37-E981-47DC-858B-F356A1DE9301.jpeg
Kuna private jet huku mkuu, achana na toyota
 
Fantasy za ujana zinakupelekesha.sio vibaya kuwa na ndoto kubwa lakini tutambue pia Kila kitu ni hatua
One step at a time
Moja baada ya jingine utafanikisha.leo pikipiki,kesho ist,keshokutwa ford ranger

Na kama unaona hiyo kazi haitakutimizia malengo yako,la kuamua unajua wewe!
 
Kupitia kuajiriwa nimeshakata tamaa kumiliki gari la ndoto yangu kama Ford Ranger au Toyota Hilux, au hata zote kwa pamoja. Kwa mshahara ninaoupata, ndoto hiyo kwa kweli inaonekana haiwezekani kutimia.

Sijui nifanye nini. Hata kupitia madokezo, extra duty au per diem, bado naona haiwezi kutokea. Nimeshakata tamaa kabisa. Nikijitahidi sana labda nitaishia kumiliki Toyota IST au Toyota Raum kwa kusevu, na hata hapo itabidi nijibane sana.

Aisee, nimeshakata tamaa. Inaonekana nitaendelea tu kumiliki pikipiki hizi hizi kama TVS, SanLG au pikipiki nyingine za kichina.

Ila hizi za kijapani, mmmh ngachoka aisee.
Mafanikio nini kwani?
 

Attachments

  • FB_IMG_1773346123934.jpg
    FB_IMG_1773346123934.jpg
    54 KB · Views: 3
Aisee! Mbona waajiriwa wengi tu tena vijana wana hizo Ford Ranger,Toyota Hilux/Fortuner wengine wana magari ya thamani kuliko hayo? Pambana kijana unakata tamaa wakati bado ni kijana?
Ulishasikia msemo 'WATU WENGI WANA MIAKA 70 ILA WALISHAKUFA WAKIWA NA MIAKA 30' ?
 
Back
Top Bottom