Jamaa wawili walikua wamekaa pamoja, mmoja akamwambia mwenzake: Leo nimeota niko UFARANSA,yule mwenzake akasema: na mi leo nimeota nimewaalika watu kwangu. yule jamaa wa kwanza akahamaki sana akamwambia mwenzake'' Mbona hujanialika na mimi''? Jamaa akamjibu: mi nlidhani bado upo UFARANSA.