Ndoto hii noma!!

Power G

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
3,886
1,194
Jamaa mmoja alilewa sana pombe. Usiku akiwa amelala akaota ndoto anapaa na akafika mbinguni. Akawa amefurahi sana. Baadae akamwomba mungu ruhusa arudi duniani kidogo.wakamwambia ukishafika mbinguni huwezi kurudi duniani kama binadamu, labda uwe kuku,au mbuzi,nguruwe nk. Jamaa akasema anaomba arudi kama kuku. Basi akarudi. Alipofika duniani akasikia kitu kinamwasha ndani kwa nyuma,akaulize nini hiki? Wakamwambia ni yai linataka kutoka,taga,akasema sawa,akataga. Mara tena ikarudia,akaambiwa ni yai lingine linataka kutoka,akataga tena,ghafla mke wake akampiga kibao pwaaa! Akamwambia mbona unakunya kitandani? Du!
 
huh...................nimeionea aibu PC yangu ati nkageukia pembeni,ooooops
 
Hapo sijui nichangie nini, ila anyway hiyo imeshaitwa ndoto, itabaki kuwa ndoto na hatuwez kui define kwenye real world.
 
...ahaaaaa...afadhali kumbe ni ndoto..maana nilishaanza kuvuta picha ya pale kitandani....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…