Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Nimeota ndoto ccm wamekubali kuwe kunafanyika mdahalo kwa masharti yafuatayo:-
1. Wanaotakiwa kuhudhulia wawe ni wazee wa dar es salaam tu, hataruhusiwa kijana au mtu yeyote asiyeogopa mabadiriko.
2. Mdahalo usirushwe hewani, mpaka usarama wa taifa wa uhariri kwanza.
3. Kusiwe na maswali ya papo kwa papo maswali yoote yaletwe kwa muhusika siku moja kabla ya mdahalo, na hata kama italazimika kuwepo kwa maswali ya papo kwa papo, hairuhusiwi kuuliza maswali yanayo kosoa uongozi uliopita maana huatarisha amani tuliyoizoea.
1. Wanaotakiwa kuhudhulia wawe ni wazee wa dar es salaam tu, hataruhusiwa kijana au mtu yeyote asiyeogopa mabadiriko.
2. Mdahalo usirushwe hewani, mpaka usarama wa taifa wa uhariri kwanza.
3. Kusiwe na maswali ya papo kwa papo maswali yoote yaletwe kwa muhusika siku moja kabla ya mdahalo, na hata kama italazimika kuwepo kwa maswali ya papo kwa papo, hairuhusiwi kuuliza maswali yanayo kosoa uongozi uliopita maana huatarisha amani tuliyoizoea.