Ilikuwa ni jana baada ya swala,Ndolanga akachukua mike nakuanza kuwatangazia waumini kuwa kuna mabadilliko ya uwongozi,na kusema kuwa ma imam wasaidizi wawili mikataba yao imekwisha watachaguliwa wangine,ndipo hapo watu wakaanza kuhoji yeye kama nani na katokea wapi wakati wanajua yeye hupenda kuswali msikiti wa manyema......wanajua kilichompekapale ni pesa,ule msikiti na miradi mingi sana na mfadhili mwenye mshiko....ndipo zongo lilipo anza japokuwa Ndolanga alikuwa amekuja na mabaunsa wa nne lakini walishindwa kumsaidia,asichezee makofi,yule mzee alichezea makofi mengi sana kutoka kwa vijana pale,baadaye walipiga tanganyika jeki akiwa pekupeku wakampeleka kituo cha polisi usalama magomeni.......