Nilioa nakufunga ndoa!na mungu ametujalia kupata mtoto mmoja wa kiume.nilihamishwa sehemu nyingine kikazi ila mke wangu alikataa kuhama na baada ya hapo alienda mahakamani kuomba talaka!pia hakati mtt nimwone wala kufika kwake!nifanyaje?naomba ushaur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.