wala usihangaike ndugu yangu , miaka saba kisheria huyo ni mkeo, kwa kuwa uliingia kiharamu endelea kuharamika, kama mbwai mbwai, chakula pilau, kachumbari mbwembwe tu (hapo kumtamkia kuoana ni mbwembwe tu hiyo ni ndoa tayari) ukitaka kuamini maneno yangu ngoja ashikwe sikio adai talaka muachane, hizo mali zote za miaka 7 mtagawana rafiki