Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,411
Duh nimekaa na kutafakari juu ya story nilizosikia na ninayoona kwenye ndoa za SIKU HIZI naona ZINANIKATISHA TAMAA KABISA KUOA..!!
1. Ya MABESTE mzee wa ""Baadae Sana"
Huyu msanii alifunga ndoa ghafla mkewe aliugua balaa..
Aliandaa show na kuomba michango ya kumuuguzia mkewe Mara Leo nasikia WAMEACHANA..!!
2. Stamini
Jamaa kagongewe na mchezaji wa mpira na ndoa ikafa..!!
Dah ukubwa na umaarufu wa uhusiano wao wote ule NDOA IMEKUFA..
3. Ninayo mifano mengine kibao ya huku mtaani na ndugu zangu..
Wengi walikua wakilalamika NDOA NGUMU na HATIMAYE ZIKAFAA..!!!
4. Bila kusahau MAGUMU wapitiayo wanandoa ambao WANAISHI tu pamoja ila KIROHO kila mtu yuko kivyake.
Ni watoto tu ndio husababisha wasiachane ila kiroho WALISHAACHANA ZAMANII...!!!
Nadhani kuna haja ya VIONGOZI WA DINI na KIJAMII kutafuta SOLUTION YA NDOA KUVUNJIKA huku JAMII NZIMA tuulizane ""NINI TATIZO?""
Dah yaani huwa NAWAZA KUOA ila nikisikia na kuona hizi PICHA za NDOA ZA SIKU HIZI NAGHAIRI GHAFLA..!!
Ngoja niende KUTAFUTA UBINGWA wa EPL na UEFA..
#Ndoa_Ngumu_Sanaaaaaa
#YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Ya MABESTE mzee wa ""Baadae Sana"
Huyu msanii alifunga ndoa ghafla mkewe aliugua balaa..
Aliandaa show na kuomba michango ya kumuuguzia mkewe Mara Leo nasikia WAMEACHANA..!!
2. Stamini
Jamaa kagongewe na mchezaji wa mpira na ndoa ikafa..!!
Dah ukubwa na umaarufu wa uhusiano wao wote ule NDOA IMEKUFA..
3. Ninayo mifano mengine kibao ya huku mtaani na ndugu zangu..
Wengi walikua wakilalamika NDOA NGUMU na HATIMAYE ZIKAFAA..!!!
4. Bila kusahau MAGUMU wapitiayo wanandoa ambao WANAISHI tu pamoja ila KIROHO kila mtu yuko kivyake.
Ni watoto tu ndio husababisha wasiachane ila kiroho WALISHAACHANA ZAMANII...!!!
Nadhani kuna haja ya VIONGOZI WA DINI na KIJAMII kutafuta SOLUTION YA NDOA KUVUNJIKA huku JAMII NZIMA tuulizane ""NINI TATIZO?""
Dah yaani huwa NAWAZA KUOA ila nikisikia na kuona hizi PICHA za NDOA ZA SIKU HIZI NAGHAIRI GHAFLA..!!
Ngoja niende KUTAFUTA UBINGWA wa EPL na UEFA..
#Ndoa_Ngumu_Sanaaaaaa
#YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app