Hicho kiapo ni kama "vision" hivi!Habari za huku,
Nimebahatika kuhudhuria ndoa mbili za kanisa katoliki, nimeona siku hizi neno “KATIKA SHIDA NA RAHA MPAKA KIFO KITUTENGANISHE” halitumiki tena.
Hii inaashiria nini? Ndoa za kanisa katoliki mnaruhusiwa kuachana kikanisa au divorce rate imezidi kua kubwa hivo hamna umuhimu wa kutumia maneno hayo?
Akya mungu tena sijaelewaHabari za huku,
Nimebahatika kuhudhuria ndoa mbili za kanisa katoliki, nimeona siku hizi neno “KATIKA SHIDA NA RAHA MPAKA KIFO KITUTENGANISHE” halitumiki tena.
Hii inaashiria nini? Ndoa za kanisa katoliki mnaruhusiwa kuachana kikanisa au divorce rate imezidi kua kubwa hivo hamna umuhimu wa kutumia maneno hayo?
Soma tena andiko la mleta mada halafu linganisha na lako kisha tuoneshe maneno "HADI KIFO KITAKAPOTUTENGANISHA".Acha uongo, tuambie ni Parokia gani imeacha kusema hivyo? Jana tu nimesimamia ndoa na maneno yapo km kawaida na unatamka " Mimi Edward Nakupokea wewe .......uwe mke Wangu ,
Tena naahidi kuwa mwaminifu kwako,katika tabu na raha ,katika magonjwa na Afya kusudi Nikupende na kukuheshimu siku zote za Maisha yangu."
S
Masista wapo wale ma senior wanakuwa upgraded.Na kuruhusu mapadri wa kike .
Inataliwa nao wapewe makanisa yao yaaani ndio wawe wanaoongoza sala,mtu kuungama kwenda kuzika kifungisha ndoa nk, yaani yeye ndio anakuwa padri kwa hiyo majukumi yote ambayo padri huyafanya ndio afanye yeye,Masista wapo wale ma senior wanakuwa upgraded.
Wewe jamaa unataka kupotosha umma! Ndoa ya kikatoliki ni noma. Ni kifo tu ndiyo hutenganisha wana ndoa. Mkiachana kabla ya hapo, basi utafunga ndoa kanisa lingine, ila siyo katoliki.
Na ukitumia ujanja ujanja na ikigaundulika tayari ulishakuwa kwenye ndoa hapo kabla, ndoa hiyo mpya hutenguliwa mara moja. Katika jambo hili, Kanisa Katoliki halina utani kabisa.
Naunga mkono hoja. Hayo mambo mawili yametufanya Wakatoliki tuishi maisha ya kinafiki sana. Baadhi ya Mapadre wanaoshindwa kuishi maisha ya kiseja, wamejikuta wakinogewa kiasi cha kuwa na watoto wa kutosha tu kwa SIRI!Bado kuruhusu wanaume kuwa na mke zaid ya mmoja na padri nae aowe .
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Kweli mtihani waweza kuwa mrahisi tena ni wa 'kushedi' kama wa darasa la7 lakini mtu unakuta anafeli kimasihara!Wewe jamaa unataka kupotosha umma! Ndoa ya kikatoliki ni noma. Ni kifo tu ndiyo hutenganisha wana ndoa. Mkiachana kabla ya hapo, basi utafunga ndoa kanisa lingine, ila siyo katoliki.
Na ukitumia ujanja ujanja na ikigaundulika tayari ulishakuwa kwenye ndoa hapo kabla, ndoa hiyo mpya hutenguliwa mara moja. Katika jambo hili, Kanisa Katoliki halina utani kabisa.
Sasa mbona hapo hakuna swali!! Yaani inawezekana ulikuwa ni msinziaji mzuri wakati unahuduria hizo harusi au hukuwa unasikiliza kwa umakini kinacho endelea hapo kanisani kwa sababu zako binafsi.Soma vizuri uelewe swali
Wewe ulikuwa unasinzia kanisani.Habari za huku,
Nimebahatika kuhudhuria ndoa mbili za kanisa katoliki, nimeona siku hizi neno “KATIKA SHIDA NA RAHA MPAKA KIFO KITUTENGANISHE” halitumiki tena.
Hii inaashiria nini? Ndoa za kanisa katoliki mnaruhusiwa kuachana kikanisa au divorce rate imezidi kua kubwa hivo hamna umuhimu wa kutumia maneno hayo?