Samahani wanajamii wa Tz, naomba kuuliza kama kuna mtu anafahamu, JE naweza funga ndoa ya bomani na mtu asie mtanzania!!
hiyo impediment marriage no. Inapatikana vipi?Ndiyo ndoa rahisi zaidi ya yote. Fika kwenye ofisi za wilaya utoe taarifa ukiwa na viambatanisho vya msingi kama Certificate of no impediment marriage kwa huyo mtarajiwa wako au document inayoonyesha ni divorced.
Tangazo linachukua siku 21 ngoma inafungwa kiulaini unahitaji tu mashahidi wawili tu haina mbwembwe na inalinda mfuko wako hasa ila kama unataka pia kuuza sura unaweza kuandaa sherehe baada ya hapo.
I
hiyo impediment marriage no. Inapatikana vipi?
Nenda moja kwa moja Ofisi ya DASHivyo kaka natakiwa kwenda Rita kwanza au moja kwa moja kwa DC!!?
Umemwambia vizuri, sababu huyo ndiye mfungisha ndoa mwenyeweNenda moja kwa moja Ofisi ya DAS
Boma una maanisha jengo ambalo halijaisha au nini hasa mkuu?
Habari Yako MkuuKichwa kichafu kwa kweli