Tetesi: Ndoa ya Ali Kamwe yaota mbawa

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,717
Reaction score
5,005
Alikamwe amekaa kushabikia timu yake huku akisahau wajibu wake kwa mkewe bwana alikamwe anadai kuwa mkewe alimcheat

Ndoa sio kitu cha kukimbilia hovyohovyo ndoa hata miezi 3 haijaisha

Au mwanetu hapigi vizuri maana ad mke kaamua kumcheat maana ake alikamwe hajui kuipiga vizuvizuri nini?
Najua alikamwe umo humo bro hudhuria vikao vya wanaume wenzako.
 
Dini yake inaruhusu kuoa wake wengi. Why asioe wake watatu chapchapu ili mmoja akizingua anakula red card moja tu nje? Anyway, kijana bado kinda ataoa tena pisi kali nyingine. Ila mashine apige kisawasawa, asipige kizembezembe wahuni watamsaidia kinyemela
 
29 June ..
Msitutoe kwenye reli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…