Labda wengi hupenda kuwa huru, ila pia wanawake wanao fanya siasa ni wabaya kuliko hata hao wanao fanya sanaa, chukulia mfano wana pataje viti maalumu!! Huwa tunayasikia sanaa! japo wenzetu nchi za nje mwanamke asiye heshimu masuala ya mahusiano hawezi fika mbali kisiasa
Wasanii hawaoleki kwa sababu hata mapenzi yao ni ya kisanii hvio hivo.
*pia watu wenye maisha ya kuhama hama , kusafiri sana sio wanawake wa kuoa kwa hilo nina ushahidi kabisa na wasanii, wama siasa na wana mitindo wana ingia hapo.