qmansome
Senior Member
- Sep 25, 2015
- 108
- 44
Wadau karibuni tupeane visa, na mikasa tunayokutana nayo kwenye ndoa zetu.
Tupeane hints za kutaka kuoa, maana kuna changamoto kubwa katika ndoa zetu za mwendo kasi kuvunjika ndani ya muda, mfupi.
Tupeane darasa (counseling) ya namna bora ya kutatua changamoto zinazotokeza kwenye ndoa zetu bila ya kuleta mikwaruzano katika familia zetu.
Namna bora ya kudhibiti michepuko yetu bila kelele. Maana asilimia kubwa wanaume kwa wanawake wengi tuliopo kwenye ndoa tuna loose balls za kusogeza maisha
Walimu, Magwiji na Makungwi karibuni uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupeane hints za kutaka kuoa, maana kuna changamoto kubwa katika ndoa zetu za mwendo kasi kuvunjika ndani ya muda, mfupi.
Tupeane darasa (counseling) ya namna bora ya kutatua changamoto zinazotokeza kwenye ndoa zetu bila ya kuleta mikwaruzano katika familia zetu.
Namna bora ya kudhibiti michepuko yetu bila kelele. Maana asilimia kubwa wanaume kwa wanawake wengi tuliopo kwenye ndoa tuna loose balls za kusogeza maisha
Walimu, Magwiji na Makungwi karibuni uwanjani
Sent using Jamii Forums mobile app