Bado Hawa wachache hawafanyi tuasiamini katika ndoa.
Jambo lolote duniani Lina changamoto, faida na hasara zake.
Jambo lolote likiwa na faida nyingi zaidi kuliko hasara basi huchaguliwa Hilo kufanywa huku zikiangaliwa namna ya kupunguza changamoto na hasara zake.
Ndoa zitaendelea kuwepo, wanawake wataolewa na wanaume wataoa, tutake tusitake.