Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,168
- 48,446
Tafiti nyingi zinaonesha kwamba wanaume wengi huingia kwenye ndoa bila ya kutarajia, wakati wanawake ni moja ya mipango yao ya maisha tangu wakiwa washichana wadogo. Kwenye ndoa wanawake wanakuwa na mipango tofauti sana na wanaume.
Ni nani hasa kati ya mwanamke na mwanaume ambaye anasababisha hadi ndoa ionekane ni taasisi yenye dhahama nyingi kuliko raha?
Ni nani hasa kati ya mwanamke na mwanaume ambaye anasababisha hadi ndoa ionekane ni taasisi yenye dhahama nyingi kuliko raha?