gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
wana jamvi wenzangu, kuna jirani yangu hapa anamtafutia mwanae wa kiume mchumba. Kijana mwenyewe ni taahira but kwa tetesi hali hii aliipata ukubwani tena baada ya wazazi wake kutaka utajiri hivyo wakamtoa mtoto awe ndondocha. In real ni matajir sana ila situation iliyopo ni kwamba hakuna mfanyakazi anayetaka kumuhudumia tena huyu kaka ambaye ana miaka 26 sasa. hivyo solution ni kwa yeye kuozeshwa mke tu.
wazazi wamemjengea nyumba kubwa sana na nzuri na pia this week wamemnunulia gari toyota Alexus rangi nyeusi. mama kwa kuwa anazo katangaza dau hapa mtaani kwa binti yeyote atakaye kubali kuolewa naye. swali najiuliza hivi kweli hawa wazazi waliwaza vizuri wakati wanyafanya haya? je sisi wengine tunajifunza nini hapa? utajiri huu wa madudu bora niwe maskini tu.
wazazi wamemjengea nyumba kubwa sana na nzuri na pia this week wamemnunulia gari toyota Alexus rangi nyeusi. mama kwa kuwa anazo katangaza dau hapa mtaani kwa binti yeyote atakaye kubali kuolewa naye. swali najiuliza hivi kweli hawa wazazi waliwaza vizuri wakati wanyafanya haya? je sisi wengine tunajifunza nini hapa? utajiri huu wa madudu bora niwe maskini tu.