kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Wana JF nawasalimu!!
Katika taratibu za kuoa kuna za kidini, kikabila na kiserikali lakini ninachozungumzia hapa ukizingatia faida na hasara, unapendekeza ipi na kwanini, ndoa ya mume mmoja/mke mmoja lakini nyumba ndogo kwa siri. au mume mmoja/wake wengi kwa uwazi.
Tuchangie faida na hasara ili tuelimike wengi. Asanteni.
Katika taratibu za kuoa kuna za kidini, kikabila na kiserikali lakini ninachozungumzia hapa ukizingatia faida na hasara, unapendekeza ipi na kwanini, ndoa ya mume mmoja/mke mmoja lakini nyumba ndogo kwa siri. au mume mmoja/wake wengi kwa uwazi.
Tuchangie faida na hasara ili tuelimike wengi. Asanteni.