Ndoa inavunjika wakati wanapendana

Ndoa inavunjika wakati wanapendana

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Habari zenu wana MMU.

Watu wanasema " Mwanao na Mwana wa mwenzio ndio mji ukavuma" kuna jamaa anaishi sehemu kijiji cha nyumba kama 6 dada na ndugu ndio jirani zake.

Toka jamaa akae hapo na mke wake ni mika 5 sasa ila sasa mke wake hafahamiani na jamaaa wa mwanaume kwa ugonvi wa watoto tuuu kupigana sasa mwanamke anataka aende kwao hadi mume atakapomaliza jengo lake ili wakahamie mbali kidogo.

Hali hiii imekua shida mke kashikilia msimamo wake na mume kila akijaribu kumnasihi imekua shida

Tumsaidie kwa hekma afanyeje wakati huyu mwanaume ndio anatunza wazee wake baba na mama na bibi yake hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si useme tu kwamba ni wewe mwenyewe kuliko kumsingizia huyu "jamaa"🙄

Hivi mambo yalivokuwa mengi hivi na muda mchache watu mnapataga wapi muda wa kuleta story za "majamaa" zenu huku ndani?🤔

Ingekuwa na kusaidiana mnasaidiana kama hivi jamii ingepiga sana hatua mbele kimaendeleo💪
 
Kinachomuondoa huyo mwanamke hapo si ugomvi wa hao watoto BALI ni huo mtihani wa kuwalea baba na mama wa mme wake.Nadhani amechoka, labda mme ampe mkewe hata wiki mbili akapumzike/kubadili upepo kichwani huko kwao. Halafu aite ndugu zake waje kuwahudumia wazazi wao.
Baadae mke akirudi heshima pia itawarudia na kila mmoja ataona umuhimu wa mwenzake.
 
Sasa mkuu ungekaa ukaandika ukiwa umetulia ili ueleweke sasa umeandika utadhani upo kwenye mbio za mwenge.
 
Sijui umeandika upupu gani
Hahhaaaa Kiswahili cha kwenye Ngalawa hiki


Jamaa kaoa ila sehemu anapokaa anakaa na familia yake(upande wa mume) ni kama lakijiji(compound) ya nyumba 6. Wako madada/mawifi wa mkewe,wazazi wa mume hadi mabibi na mababu sasa nadhani interaction(mchanganyiko) wa hizo familia mbili wamekua wakisigana. Mtoto wa jamaa alogombana na mtoto mmoja hapo "kijijini" imesababisha mtafaruku mkubwa mke wa jamaa haongei na "wanakijiji" wengine ambao technically ni wanafamilia wengine kwasababu hio. Na pia inavyoonekana huyo jamaa ndo anaelea sehemu kubwa ya hicho "kijiji" ila ana mpango wa kujenga mbali ahamie huko mke hataki kusubiri mpaka hio nyumba ikamilike wahamie anataka kuchimba sasa hivi kwasababu ya ugomvi huo mdogo. Jamaa kajaribu kumbembeleza mke haelewi somo

Upo yakhee???
 
Hahhaaaa Kiswahili cha kwenye Ngalawa hiki


Jamaa kaoa ila sehemu anapokaa anakaa na familia yake(upande wa mume) ni kama lakijiji(compound) ya nyumba 6. Wako madada/mawifi wa mkewe,wazazi wa mume hadi mabibi na mababu sasa nadhani interaction(mchanganyiko) wa hizo familia mbili wamekua wakisigana. Mtoto wa jamaa alogombana na mtoto mmoja hapo "kijijini" imesababisha mtafaruku mkubwa mke wa jamaa haongei na "wanakijiji" wengine ambao technically ni wanafamilia wengine kwasababu hio. Na pia inavyoonekana huyo jamaa ndo anaelea sehemu kubwa ya hicho "kijiji" ila ana mpango wa kujenga mbali ahamie huko mke hataki kusubiri mpaka hio nyumba ikamilike wahamie anataka kuchimba sasa hivi kwasababu ya ugomvi huo mdogo. Jamaa kajaribu kumbembeleza mke haelewi somo

Upo yakhee???
Shida ya kuolewa na mpemba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheikh nimeelewa
Hahhaaaa Kiswahili cha kwenye Ngalawa hiki


Jamaa kaoa ila sehemu anapokaa anakaa na familia yake(upande wa mume) ni kama lakijiji(compound) ya nyumba 6. Wako madada/mawifi wa mkewe,wazazi wa mume hadi mabibi na mababu sasa nadhani interaction(mchanganyiko) wa hizo familia mbili wamekua wakisigana. Mtoto wa jamaa alogombana na mtoto mmoja hapo "kijijini" imesababisha mtafaruku mkubwa mke wa jamaa haongei na "wanakijiji" wengine ambao technically ni wanafamilia wengine kwasababu hio. Na pia inavyoonekana huyo jamaa ndo anaelea sehemu kubwa ya hicho "kijiji" ila ana mpango wa kujenga mbali ahamie huko mke hataki kusubiri mpaka hio nyumba ikamilike wahamie anataka kuchimba sasa hivi kwasababu ya ugomvi huo mdogo. Jamaa kajaribu kumbembeleza mke haelewi somo

Upo yakhee???
 
Back
Top Bottom