Ndoa haitaki usanii

Duuh
 
Kudumu katika ndoa kunategea maarifa ya mwanaume.Mtume pauo alisema ishi na mwanamke kwa akili.Mpende mkeo lakini beba madhaifu yake(isipokuwa uasherati) mtaishi hadi mwisho
 
Ndio n project ya kiroho

Pasipo maombi (msaada wa Mungu) n ngumu kuvumiliana na kusameheana.

Jifikirie vile ambavyo wewe unashindwa kuishi na wewe mwenyewe je utawezaje kuish na mtu mwngne

Vile unavyojikasrikia ukiznguašŸ˜…
 
Ndio n project ya kiroho

Pasipo maombi (msaada wa Mungu) n ngumu kuvumiliana na kusameheana.

Jifikirie vile ambavyo wewe unashindwa kuishi na wewe mwenyewe je utawezaje kuish na mtu mwngne

Vile unavyojikasrikia ukiznguašŸ˜…
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…