Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,079
- 165,849
Ndio tena ndoa takatifu ya kanisani. Pia ni mume mwaminifu. Hata nikifa Leo sitaacha wajane sita wala watoto kumi na moja
aisee we ndo sasa unazidi kuogopesha vijana kuoa
Hahaaa mbona wampiga kijembe marehem.
Hongera sana kuwa mume mwaminifu.
aisee we ndo sasa unazidi kuogopesha vijana kuoa
Ndoaa na hieshimiwe na watu wote