Ndoa anapanga Mungu hali iko hivi kwenye ndoa, Je ingekuwaje tungekuwa tunajipangia wenyewe?

Ndoa umpate mtu sahihi, i recommend urafiki wa muda mrefu.

Type: 1
Uhusiano wenu wa ndoa chimbuko lake liwe ni urafiki wa muda mrefu maana mapenzi ya kirafiki huwa hayachoshi you got a back for eachother, mpo free sana which means hamna unafiki kati yenu at all, pia ni rahisi kuelewana hata mkigombana. Mnaoana kwa upendo wa dhahiri baina yenu maana mpo tayari ku push over life pamoja. I think this makes one of the best marriages ever na ita guarantee upendo wa all time. Huu ndio mfumo wa uhusiano walioutumia wazee wetu ambao mpaka leo tunajiuliza mbona wao hawazinguani ila sie yanatushinda mapema!

Type: 2
Ndoa based on mapenzi ya kutamaniana tu ndio zinaumizaga mwishoni maana lazma mmoja atamchoka mwenzake. Ndoa nyingi za siku hizi ziko backed up na unafiki,ubinafsi ama maslahi ya mmoja wenu. Mtu anapretend mwema ili aolewe tu aonekane na mashoga zake kaolewa ila kumbe hana mapenzi ya dhati. Anatafuta unafuu wa maisha kwa kuwa mwanamume atamtunza tu baada ya ndoa na atawaoshea mashosti zake kuwa na designer outfits, simu, magari makali...in short show offs. Anakuja kustuka ndoa ni zaidi ya hayo anaanza shida ndani ya nyumba heshima 'F' mwishowe unakuta linaanza umalayaa huku lina pete kidoleni aargh. Hapo mtu alikuwa hana kitu kataftiwa kazi ndio kashapata nguvu na jeuri usiombee. Nyumba lazma iwe chungu.
Natamani sana binadamu wangekuwa wakisoma vitu kama hivi viwaguse nakubadilika nachukia sana kuona mtu mzima age30....anafanya ujinga. Nimekukubali mkuu
 
Fact mkuu
Hatuna budi kukomaa mkuu, maana usipooa wala kuolewa mwisho wa ck utakuwa kituko machoni pa Mungu na wanadamu utamuudhi Mungu kwa dhambi ya uzinzi na utakuwa mwizi wa waume za watu au wake za watu hapo mauti yatakuwa yanakunyemelea
 
Ni kweli kila mtu anatakiwa ajitambuwe ,na kujuwa wajibu wake kwa mwenzie ,na acheze pati yake ,

wengi tunafeli maana hatujui wajibu wetu kwa wenzetu,ndio shida inapoanza ,

Na hapo kwenye ulezi ndio penye matatizo yanapoanzia maana mwanaume mke akiwa analea anachipuka ,na mke akimaliza kulea naye anataka kulipiza kisasi
Ctathubutu kuchepuka hata kama mume wngu ana mapungufu vipi lbda akitangulia mbele ya haki lkn inaumiza sana ww kukaa kwenye mstari mwenzio acjitambue yaaani bac tu
 
Ctathubutu kuchepuka hata kama mume wngu ana mapungufu vipi lbda akitangulia mbele ya haki lkn inaumiza sana ww kukaa kwenye mstari mwenzio acjitambue yaaani bac tu
Na mungu ana makusudi yake hawawezi kuwaweka watu mnaofanana lazima mmoja awe kwenye mstari ili amrudishe mwenzie anayetoka kwenye mstaru
 
napatwa na mawazo hasa tunapo mgusa MUNGU.kwangu najua najua MUNGU,unajua MUNGU huangalia neno lake ili apate kulitimiza jambo.

Maswali ya ufahamu!!
~unapobomba upo ndani ya neno?
~Imani yako ipo ndani ya neno?
Maana husema nikumbushe tuhojiane ili upate kupewa haki yako

Mahala pengine anasema lete hoja zenye nguvu (yaani kwa neno)ili akiziangalia atimize yy hajipingi kwenye neno lake.

Ss ili uwe sawa nenda sawasawa na NENO maana ndani ya NENO kuna kila kitu.
 
napatwa na mawazo hasa tunapo mgusa MUNGU.kwangu najua najua MUNGU,unajua MUNGU huangalia neno lake ili apate kulitimiza jambo.

Maswali ya ufahamu!!
~unapobomba upo ndani ya neno?
~Imani yako ipo ndani ya neno?
Maana husema nikumbushe tuhojiane ili upate kupewa haki yako

Mahala pengine anasema lete hoja zenye nguvu (yaani kwa neno)ili akiziangalia atimize yy hajipingi kwenye neno lake.

Ss ili uwe sawa nenda sawasawa na NENO maana ndani ya NENO kuna kila kitu.
Amen
 
Na mungu ana makusudi yake hawawezi kuwaweka watu mnaofanana lazima mmoja awe kwenye mstari ili amrudishe mwenzie anayetoka kwenye mstaru
Lkn hii inakaaje kama hujafunga ndoa na mtu upo nae kwenye mahusiano miaka miwili mpaka mtoto kazaliwa mwanaume anakuwa akijitetea hayupo vzr kiuchumi kulipa mahari lkn pesa ya pombe na kujifungia ck tatu na zaidi IPO bila kupiga cm wala kupokea cm na msamaha haombi huyu mtu tunamweka ktk kundi gani?
 
Neno ndoa au tendo la ndoa kweli Mungu ndiye amepanga ila kwa wengi vizazi vya sasa huwa hatumshirikishi yeye ktk kutafuta wenza wetu ndo maana tuna-fail,unakuta Mungu amemleta mtu sahihi aliekupangia but tunaanza kuangalia kama ana umbo zuri,wengine wanatazama sura wengine kama amesoma kuna ambao hufika mbali hata kuangalia kama ana pesa nyumba na gari tukiona sifa hizi hana basi tunamuacha na kwenda kutafuta wale tunaowataka sisi ambao sio tuliopangiwa na pia Mungu hakuwapa ile karama ya ndoa.mkishawekana ndani sasa timbwili likianza mnakuwa hamna namna nyengine yakufanya zaidi ya kuachana kutokana na kwamba mmoja wenu hakuwa sahihi ktk mahusiano hayo.
 
Lkn hii inakaaje kama hujafunga ndoa na mtu upo nae kwenye mahusiano miaka miwili mpaka mtoto kazaliwa mwanaume anakuwa akijitetea hayupo vzr kiuchumi kulipa mahari lkn pesa ya pombe na kujifungia ck tatu na zaidi IPO bila kupiga cm wala kupokea cm na msamaha haombi huyu mtu tunamweka ktk kundi gani?
Huyo hayupo sawa ,ila kinachotakiwa ni kumrudisha kwenye mstari,kwa kujaribu kuongea nae na pia kumuombea mungu dunia hii ina mambo mengi we iache tu
 
Neno ndoa au tendo la ndoa kweli Mungu ndiye amepanga ila kwa wengi vizazi vya sasa huwa hatumshirikishi yeye ktk kutafuta wenza wetu ndo maana tuna-fail,unakuta Mungu amemleta mtu sahihi aliekupangia but tunaanza kuangalia kama ana umbo zuri,wengine wanatazama sura wengine kama amesoma kuna ambao hufika mbali hata kuangalia kama ana pesa nyumba na gari tukiona sifa hizi hana basi tunamuacha na kwenda kutafuta wale tunaowataka sisi ambao sio tuliopangiwa na pia Mungu hakuwapa ile karama ya ndoa.mkishawekana ndani sasa timbwili likianza mnakuwa hamna namna nyengine yakufanya zaidi ya kuachana kutokana na kwamba mmoja wenu hakuwa sahihi ktk mahusiano hayo.
yap hili nalo ni tatizo ,maana ajabu ndoa nyingi sasa hazidumu ,tofauti na za zamani ,
maana vigezo tunavyotumia sasa kuwapata wenza si vigezo walivyotumia wazee wetu,
.sisi tunaangalia mvuto wa mtu
 
Huyo hayupo sawa ,ila kinachotakiwa ni kumrudisha kwenye mstari,kwa kujaribu kuongea nae na pia kumuombea mungu dunia hii ina mambo mengi we iache tu
Unajua ktk hali yakibinadam inakuwa ngumu kumuombea mtu anaekukwaza makusudi, ila namwombea tu na pia namwambia Mungu kama hatumbariki kuwa pamoja hata Leo tuachane
 
yap hili nalo ni tatizo ,maana ajabu ndoa nyingi sasa hazidumu ,tofauti na za zamani ,
maana vigezo tunavyotumia sasa kuwapata wenza si vigezo walivyotumia wazee wetu,
.sisi tunaangalia mvuto wa mtu
Nikweli Leo mdada anampata mkaka anempenda na anaona anaamani nae lkn anaweka vigezo vya kidunia mwisho wa ck anaangukia pua anaanza kulilia, hali kadhalika mkaka anampta binti anempenda anaheshimu anamjali lkn ananza kumtoa kasoro, Mara atake mwenye umri mdogo sana mwenye hipsi Mara tako bubwa, kwani hayo yasipokuwepo papuchi hazikutani? Mmmmmh tujifunze kumckiliza Mungu wakuu
 
Mm namwomba Mungu kama huyu ni adamu wangu bac ambadilishe aliishi neno LA Mungu "enyi waume wapendeni wake zetu" hakika atafuraji maana ctaangalia pembeni ntaangalia nnapokanyaga na mbele
 
Unajua ktk hali yakibinadam inakuwa ngumu kumuombea mtu anaekukwaza makusudi, ila namwombea tu na pia namwambia Mungu kama hatumbariki kuwa pamoja hata Leo tuachane
Y mwachane? kwanini ubomoe badala ya kujenga
 
Nikweli Leo mdada anampata mkaka anempenda na anaona anaamani nae lkn anaweka vigezo vya kidunia mwisho wa ck anaangukia pua anaanza kulilia, hali kadhalika mkaka anampta binti anempenda anaheshimu anamjali lkn ananza kumtoa kasoro, Mara atake mwenye umri mdogo sana mwenye hipsi Mara tako bubwa, kwani hayo yasipokuwepo papuchi hazikutani? Mmmmmh tujifunze kumckiliza Mungu wakuu
ni kweli
 
Ndoa iliyounganishwa na Mungu inafunikwa na amani na upendo...

Tusifanye machaguo yetu wenyewe vikiburumuka tumsingizie Mungu. Mungu hatoagi vitu vibovu
 
Back
Top Bottom