Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
Nimekaa na kutafakari kwa kina ,nikajikuta najiuliza swali hili,baada ya kungalia changamoto mbali mbali zilizopo kwenye ndoa nyingi ,ambapo wengi tuna amini ndoa huwa inapangwa na mungu,
Nikajikuta Nikajuliza swali, "hivi ingekuweje kama tungekuwa tunajipangia wenyewe?
maana hali hii Mungu anapanga ,Changamoto ni nyingi mpaka unajikuta,Ukiambiwa Swala la kuowa ,Unajikuta kale kaugonjwa kakitoto(Degedege)Kanataka kukujia ukubwani..
Je ingekuwa wanadamu tunajiamulia wenyewe ,Dah sijui ingekuweje,
Nimejikuta tu Nawaza .....
Maana kuna wazee wakorofi sana kwa Hekma zake mungu akawapa wanawake watulivu mpaka raha, ila mzee sasa ndo haeleweki full kunyanya bi mkubwa
Au unakuta kijana kashapoteza Network ya maisha anapata bint mwenye kujielewa na anamrudisha kwenye Mstari,au alikuwa chini basi kwa msaada wa mwanamke anasimama na kuwa juu,
Au upande wapili unakuta jamaa ana haribikiwa kila kitu kisa tu mwanamke,
Au mtoto wa kike anajikuta ana angukiwa kwa mwanaume ambaye haeleweki na kupoteza kila kitu ,mpaka ukimgoogle katika watu walokuwa Duniani humpati ?
Haya yote Ni kwa kuwa mungu anapanga,Tena kwa hekma yake anaejuwa yeye,
je ingekuwa twajipangia wenyewe hali si ingekuwa Tafrani vulu vululu,Shaghala baghala
Nimewaza tu.........
Nikajikuta Nikajuliza swali, "hivi ingekuweje kama tungekuwa tunajipangia wenyewe?
maana hali hii Mungu anapanga ,Changamoto ni nyingi mpaka unajikuta,Ukiambiwa Swala la kuowa ,Unajikuta kale kaugonjwa kakitoto(Degedege)Kanataka kukujia ukubwani..
Je ingekuwa wanadamu tunajiamulia wenyewe ,Dah sijui ingekuweje,
Nimejikuta tu Nawaza .....
Maana kuna wazee wakorofi sana kwa Hekma zake mungu akawapa wanawake watulivu mpaka raha, ila mzee sasa ndo haeleweki full kunyanya bi mkubwa
Au unakuta kijana kashapoteza Network ya maisha anapata bint mwenye kujielewa na anamrudisha kwenye Mstari,au alikuwa chini basi kwa msaada wa mwanamke anasimama na kuwa juu,
Au upande wapili unakuta jamaa ana haribikiwa kila kitu kisa tu mwanamke,
Au mtoto wa kike anajikuta ana angukiwa kwa mwanaume ambaye haeleweki na kupoteza kila kitu ,mpaka ukimgoogle katika watu walokuwa Duniani humpati ?
Haya yote Ni kwa kuwa mungu anapanga,Tena kwa hekma yake anaejuwa yeye,
je ingekuwa twajipangia wenyewe hali si ingekuwa Tafrani vulu vululu,Shaghala baghala
Nimewaza tu.........