Ndio maana wewe wanasema don't try this at home

Ndio maana wewe wanasema don't try this at home

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751

0b14aabb3d14459d0ec1cc09a6e223cd
 
Duuh.. Mtoto hajapasua ikulu ya baba yake kwel hapo..?
 
Mtoto wrestling anaiweza maana anajua target point, hahahahaahaaa.
 
Huyo dogo katumwa na mamake maana nasikia mdingi kiwembe mpaka ananuka k
 
Don't try this at home! Dogo ka-hit pressure point
 
Ndio maana wazee wetu,ilikuwa ni marufuku kuchekacheka na watoto nadhani walikuwa wanaogopa kukutwa na haya.

Baba akipumzika kama hivyo hata sebureni hampiti.
 
Halafu mimi niliandika WWE, mods wama-edit wameandika wewe, sijui manaake nini!
 
Back
Top Bottom