mihadarati
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 268
- 74
Leo mbunge wa Moshi philemon Ndesamburo amesema kuwa wananchi wasiache kula rushwa ambayo imekuwa ikitembezwa na ccm kwani ni kodi za wananchi zilizoibwa na viongozi hao.
Ndesamburo amesema kuwa vijana walioandaliwa kwa ajili ya kufanya vurugu kwenye uchaguzi huo hawataweza kupenyeza mbele ya kikundi cha ulinzi cha Mgombea udiwani huyo FRank Kagoma kwabi kimehipanga vya kutosha.
Ndesamburo amesema yeye amekuwa tishio kwa CCM kila mara na wamekuwa wakihonga mamilioni ya pesa lakini bado amekuwa akiibuka na ubunge na hivyo itakuwa kwenye uchaguzi huo mdogo ambao CCM imejipanga muwanunua vijana kwa ajili ya kufanya fujo kama ambavyo imekuwa ikitokea katika sehemu nyingine.
Meya wa Moshi Japhary Michael alisema kuwa hakuna kura itakayoibiwa kwani wamejipanga vya kutosha na kama kuna mbinu chafu ccm inategemea kuweza kupata ushindi utakuwa inapoteza muda kwani hakuna wakala atakayenunuliwa.
Ndesamburo amesema kuwa vijana walioandaliwa kwa ajili ya kufanya vurugu kwenye uchaguzi huo hawataweza kupenyeza mbele ya kikundi cha ulinzi cha Mgombea udiwani huyo FRank Kagoma kwabi kimehipanga vya kutosha.
Ndesamburo amesema yeye amekuwa tishio kwa CCM kila mara na wamekuwa wakihonga mamilioni ya pesa lakini bado amekuwa akiibuka na ubunge na hivyo itakuwa kwenye uchaguzi huo mdogo ambao CCM imejipanga muwanunua vijana kwa ajili ya kufanya fujo kama ambavyo imekuwa ikitokea katika sehemu nyingine.
Meya wa Moshi Japhary Michael alisema kuwa hakuna kura itakayoibiwa kwani wamejipanga vya kutosha na kama kuna mbinu chafu ccm inategemea kuweza kupata ushindi utakuwa inapoteza muda kwani hakuna wakala atakayenunuliwa.