Ndege zimeanza mazoezi

Ndege zimeanza mazoezi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Nimeziona nikiwa maeneo ya Mbezi Tangibovu, ni ndege za jeshi nafikiri tayari kwa maonesho ya kesho.
 
Mbona zaidi ya mwezi zinazurula kwa tuliopo chanika.
 
Nimeziona nikiwa maeneo ya mbezi tangibovu, ni ndege za jeshi nafikiri tayari kwa maonesho ya kesho
Hizo pesa zilizotumika kununulia mafuta wangenipatia zingetosha kununua viwanda vidogo kwa ajili ya kusindika nyanya japo mikoa miwili Iringa na Morogoro, ambao ndiyo wakulima wakubwa wa zao Hilo na wakulima wangeepukana na hasara.
 
Last time niliziona Arusha zikiongozana majira ya jioni zikiwa kama 25 hivi.
 
Naona sasa tumeanza kupata sura nyingine ya Tanzania... maana pia mimi jana nimekutana na wanajeshi huku mkoani nilipo..ni wengi kama siafu wanapita mtaani wakiwa wamebeba bendera nyekundu sijui wanaenda wapi. Mungu atunusuru maana naona kuna mtu huenda hajui anachofanya
 
zimepita sasa hivi hapa TAZARA tena ziko chini chini...
 
Hizo pesa zilizotumika kununulia mafuta wangenipatia zingetosha kununua viwanda vidogo kwa ajili ya kusindika nyanya japo mikoa miwili Iringa na Morogoro, ambao ndiyo wakulima wakubwa wa zao Hilo na wakulima wangeepukana na hasara.

Na Mabilioni ya hela za ruzuku wanazopewa CHADEMA unashaurije?
 
Ndege zenyewe zakiboya sana ni zile MIG21 za zamani za kirusi zinapiga kelele kama trekta,, mwendo wa hovyo pia ina viraka sana,,,
 
Hizo pesa zilizotumika kununulia mafuta wangenipatia zingetosha kununua viwanda vidogo kwa ajili ya kusindika nyanya japo mikoa miwili Iringa na Morogoro, ambao ndiyo wakulima wakubwa wa zao Hilo na wakulima wangeepukana na hasara.
Kwahiyo ulitaka wasifanye mazoezi....
 
Mbona wanafanya mazoezi kila mwaka siku ya mashujaa ikikaribia....
 
Naona sasa tumeanza kupata sura nyingine ya Tanzania... maana pia mimi jana nimekutana na wanajeshi huku mkoani nilipo..ni wengi kama siafu wanapita mtaani wakiwa wamebeba bendera nyekundu sijui wanaenda wapi. Mungu atunusuru maana naona kuna mtu huenda hajui anachofanya
yaani kama nchi hatujui hatma yetu
 
Ndege zenyewe zakiboya sana ni zile MG21 za zamani za kirusi zinapiga kelele kama trekta,, mwendo wa hovyo pia ina viraka sana,,,
MG21 siku hizi ni ndege? Kama hujui mambo ya kijeshi no bora ukae kimya siyo kujiaibisha.
 
Naona sasa tumeanza kupata sura nyingine ya Tanzania... maana pia mimi jana nimekutana na wanajeshi huku mkoani nilipo..ni wengi kama siafu wanapita mtaani wakiwa wamebeba bendera nyekundu sijui wanaenda wapi. Mungu atunusuru maana naona kuna mtu huenda hajui anachofanya
Utakua upo Tabora bla shakA
 
Back
Top Bottom