Ndege ya Dodoma na mapungufu makubwa ya sheria za usalama barabarani

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
299,547
751,983
IMG-20170512-WA0014.jpg
Ilikuwa ni wiki ya tukio la kukokotwa na trekta (kilimo kwanza) kwa ndege ndogo (mbovu?) kwenye barabara ya kawaida ya magari nk nje ya uwanja wa ndege
Mwanzoni taarifa zilisambaa kwamba ilishindwa kutua uwanjani kwenye barabara yake maalum hivyo kutua barabara ya lami inayotumiwa na wote
Shukrani za pekee kwa Salary Slip alikuwepo eneo la tukio na kutoa ufafanuzi
Ufafanuzi wake ni kuwa Ilikuwa ni ndege mbovu ya jeshi na Ilikuwa inahamishwa kwa kuvutwa na trekta......!!!!
36379e55ed543cdd3f54e9666368c5a8.jpg
cha kushangaza sana hakukuwa na alama zozote za tahadhari kwa mashine kama ile kupita barabara ya kawaida
Mbele hakukuwa na gari la kimulimuli, nyuma pia halikuwepo.. Kuashiria hatari... Si pembeni wala popote kulikuwa/kulibandikwa alama ya HATARI ama TAHADHARI... hakukuwa na escort ya police
ad5eeb0ade8e4291ee700c6f5b2515e8.jpg
....siamini mpaka sasa kama kuna watu hawajawajibishwa!!!au kwakuwa ni JEI WII
magari yanayobeba mizigo makubwa na madogo wanajua adha wanayopatishwa barabarani na matrafiki kunapokuwa kuna shida ndogo sana ya kiusalama ambayo haikuzingatiwa.... Msamaha wake ni buku tano kiwango cha chini kabisa ama adhabu ya notification Tsh 30000
5f3140783f2b8131b6fb82da43171bc3.jpg
lakini kwa hili watu walivaa miwani ya mbao wakafunika kombe mwanaharamu apite....
Tunapaswa kupimwa tena upstairs kwenye medulla oblangata kama hakuvuji
 
View attachment 508943 Ilikuwa ni wiki ya tukio la kukokotwa na trekta (kilimo kwanza) kwa ndege ndogo (mbovu?) kwenye barabara ya kawaida ya magari nk nje ya uwanja wa ndege
Mwanzoni taarifa zilisambaa kwamba ilishindwa kutua uwanjani kwenye barabara yake maalum hivyo kutua barabara ya lami inayotumiwa na wote
Shukrani za pekee kwa Salary Slip alikuwepo eneo la tukio na kutoa ufafanuzi
Ufafanuzi wake ni kuwa Ilikuwa ni ndege mbovu ya jeshi na Ilikuwa inahamishwa kwa kuvutwa na trekta......!!!!
36379e55ed543cdd3f54e9666368c5a8.jpg
cha kushangaza sana hakukuwa na alama zozote za tahadhari kwa mashine kama ile kupita barabara ya kawaida
Mbele hakukuwa na gari la kimulimuli, nyuma pia halikuwepo.. Kuashiria hatari... Si pembeni wala popote kulikuwa/kulibandikwa alama ya HATARI ama TAHADHARI... hakukuwa na escort ya police
ad5eeb0ade8e4291ee700c6f5b2515e8.jpg
....siamini mpaka sasa kama kuna watu hawajawajibishwa!!!au kwakuwa ni JEI WII
magari yanayobeba mizigo makubwa na madogo wanajua adha wanayopatishwa barabarani na matrafiki kunapokuwa kuna shida ndogo sana ya kiusalama ambayo haikuzingatiwa.... Msamaha wake ni buku tano kiwango cha chini kabisa ama adhabu ya notification Tsh 30000
5f3140783f2b8131b6fb82da43171bc3.jpg
lakini kwa hili watu walivaa miwani ya mbao wakafunika kombe mwanaharamu apite....
Tunapaswa kupimwa tena upstairs kwenye medulla oblangata kama hakuvuji
Aisee, ngoja waje wafia selekali
 
chini ya ccm kila kitu kinawezekana, akili na utashi wao wamewapa waganga wa kienyeji watunziwe
 
Back
Top Bottom