barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Wataunga dots tu. Watakwambia zote boeing na pia ethiopia sio mbali na tz.Kuna watu watasema 737 ni terrible teen na wengine watesema ni mtumba hawakununua mpya.... Ah lakini nimekumbuka, hio ilikuwa ya ET ingekuwa ya ATCL ndio ungeyasikia haya.... Anyways pole zao
Ingekuwa Bongo kejeli zingezidi idadi ya pole sababu tu ya chuki za kisiasa.Hapa bongo ndege ikifanyiwa service tu nongwa.
Nimekusoma mkuu. Ila bei zao ziko fair sana na wengi wanazipenda ila ndo hivoNdege zao nyingi hazifanyiwi services vya kutosha,
Wana ndege chache sana ukilinganisha na mashirika kama Emirates na wengine kama Qatar airways, lakin nao wanataka kushindana nao kwenye routes zao, ionekane nao wameteka anga, hivo ndege zao hazipati Muda wa kufanyiwa services vya kutosha, unakuta let say wana ndege 50 wanataka wapige routes 1000 kama wale wenye ndege 200
Pili wana overload ndege zao maana zimekuwa bila utaratibu wa kudhibiti mizigo kama wengine,
Britannica
Ndege zao nyingi hazifanyiwi services vya kutosha,
Wana ndege chache sana ukilinganisha na mashirika kama Emirates na wengine kama Qatar airways, lakin nao wanataka kushindana nao kwenye routes zao, ionekane nao wameteka anga, hivo ndege zao hazipati Muda wa kufanyiwa services vya kutosha, unakuta let say wana ndege 50 wanataka wapige routes 1000 kama wale wenye ndege 200
Pili wana overload ndege zao maana zimekuwa bila utaratibu wa kudhibiti mizigo kama wengine,
Britannica
NdiyoNimekusoma mkuu. Ila bei zao ziko fair sana na wengi wanazipenda ila ndo hivo
Madege yao yanaanza kuchoka na crashes utaona nyingiMkuu mbona wana crashes chache sana?
God help
Hizi ndege toka zilipotoka niliziona ni tatizo zinapiga sarakasi kama Jet sasa zikipata marubani kama wa mabasi ya kisbo wakifika jirani na mtaa wa demu wake sifa zinaanzia hapo wengine tunafungua nyuzi tu.View attachment 1042210
An Ethiopian Airlines passenger jet has crashed on a flight from Addis Ababa to Nairobi.
Prime Minister Abiy Ahmed tweeted his "deepest condolences to the families of those that have lost their loved ones".
Flight ET 302 crashed near the town of Bishoftu, 62 km southeast of Addis Ababa
View attachment 1042225
Hapana hizo naziogopa kama ukoma pia
Basi sawa mkuuMkuu mbona maelezo yanajitosheleza? Una haraka gani? Bahati mbaya angani hakuna vituo kama usafiri wa mabasi au treni
Sent using Jamii Forums mobile app
R.i.p woteView attachment 1042210
An Ethiopian Airlines passenger jet has crashed on a flight from Addis Ababa to Nairobi.
Prime Minister Abiy Ahmed tweeted his "deepest condolences to the families of those that have lost their loved ones".
Flight ET 302 crashed near the town of Bishoftu, 62 km southeast of Addis Ababa
View attachment 1042225
View attachment 1042245