britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Nilisema tokea zamani,
Ndege ya Ethiopia sitapanda hata nipewe free ticket,
Poleni sana wafiwa
Ndege ya Ethiopia sitapanda hata nipewe free ticket,
Poleni sana wafiwa
Why mkuu. tupe ABCsNilisema tokea zamani,
Ndege ya Ethiopia sitapanda hata nipewe free ticket,
Poleni sana wafiwa
We unapanda hizi za kusukuma tu?Nilisema tokea zamani,
Ndege ya Ethiopia sitapanda hata nipewe free ticket,
Poleni sana wafiwa
Mkuu mbona maelezo yanajitosheleza? Una haraka gani? Bahati mbaya angani hakuna vituo kama usafiri wa mabasi au treniIlikua na abiria wangapi?
Imeangukia wapi?
Je, kuna walio nusurika?
Mkuu, next time jitahidi uweke habari iliyo kamilika.
Ndege zao nyingi hazifanyiwi services vya kutosha,Why mkuu. tupe ABCs
Kuua wakenya walio onboard?Hujuma za wakenya
Why mkuuNilisema tokea zamani,
Ndege ya Ethiopia sitapanda hata nipewe free ticket,
Poleni sana wafiwa
Eh hamna cha usalama hapo 157 wamerest in peace and pieces, Mungu awapumzishe kwa amaniTuwaombee Abiria wote Watoke Salama