Raia wawili wa Iran waliotambuliwa kughushi passport za kusafiria (Pouri Nourmohammadi,kushoto, na Delavar Seyed) wanasadikiwa kuhusika na upotevu wa flight 370
Mtalii wa Italiano akionesha passport yake mpya baada ya kuibiwa ya kwanza August mwaka jana na kusadikiwa passport yake huenda ilitumika na watu wawili walioghushi passport na kusafiri na ndege hiyo flight 370
Ila kwa kuwaangalia hawa Iranians mbona kabisa wanaonekana kama wana kitu moyoni? They are not good chaps!!! Kisaikolojia, kuna doubt kabisa kwa hawa viumbe.
Mi ninazo taarifa za ukweli kabisa...ni kwamba ile ndege imepotea haijaonekana na juhudi za kuitafuta zinaendelea maka marekani waomeongeza nguvu huku wenye ndugu zao wamekata tamaa wasijue cha kufanya...vp hapo mkuu umeridhika?