Ndani ya miaka mitano, serikali ya Rais Magufuli itaelemewa na mzigo wa fidia za kimahakama

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,437
14,927
Ninaamini hiki ni kipindi cha mavuno kwa mawakili ambao watakuwa wakifanya Kazi ya kuinyoosha serikali mahakamani ili ifuate utawala wa sheria.

Kesi mamia kama si maelfu zitafunguliwa na wananchi na makampuni kudai fidia za kudhalilishwa au kunyanganywa mali zao.

Suala la majipu ni mojawapo,suala la kunyanganya watu mashamba,suala la kupokonya sukari,kufukuza watu bila kuwasikiliza,serikali kugoma kulipa baadhi ya madeni halali na mengine mengi.

Naamini waziri wa sheria ni mbobezi lazima ameshamwambia kwamba haya mambo yataitia hasara serikali kwa matrilioni,na kama vile somo halijaeleweka naona mchezo wa kucheza na haki za watu unaendelea kwa hoja mfu kwamba hao watu walikosea kwanza hivyo hawapaswi kupewa haki!!

Nataraji ndani ya Mwaka huu na ujao mahakama kujaa utitiri wa kesi za madai ya matrilioni na ambazo kwa asilimia mia serikali itashindwa,tusiwalaumu mawakili wa serikali pale serikali inaposhindwa kesi,mpaka kesi imfikie wakili wa serikali,tayari mambo yameshaharibika,kwa mfano tamko la kufukuza mtu jukwaani Iinatolewa papo hapo bila kumshirikisha halafu serikali ikishtakiwa unataraji ishinde!!!

Viongozi wanaogopa kushauri wameacha jahazi lizame ili iwe sehemu ya somo,Sokoine alitawala kwa kipindi chake ambacho hakilingani na hiki,sasa wananchi wana uelewa na Uhuru mkubwa wa kudai haki,watazidai na nafikiri serikali imeliona hilo.

Tuliwahi kubomoa sheli ya mMansoor pale Mwanza tukalipa mabilioni,bado mabilioni ya kesi ya Samaki wa Magufuli,hizo ni baadhi tu ya kesi zinazoweza kuwa somo Zuri kwa serikali na wananchi kwamba fidia hizo ni kodi zetu,kama maamuzi mazuri yangefanyika kwa kufata sheria tungezitumia kujenga barabara,zahanati,madawati,shule.
 
Mwanasheria Mkuu wa serikali atakwenda na maji asipotimiza wajibu,naona anafanya Kazi kwa hofu kuu
 
Ninaamini hiki ni kipindi cha mavuno kwa mawakili ambao watakuwa wakifanya Kazi ya kuinyoosha serikali mahakamani ili ifuate utawala wa sheria.

Kesi mamia kama si maelfu zitafunguliwa na wananchi na makampuni kudai fidia za kudhalilishwa au kunyanganywa mali zao.

Suala la majipu ni mojawapo,suala la kunyanganya watu mashamba,suala la kupokonya sukari,kufukuza watu bila kuwasikiliza,serikali kugoma kulipa baadhi ya madeni halali na mengine mengi.

Naamini waziri wa sheria ni mbobezi lazima ameshamwambia kwamba haya mambo yataitia hasara serikali kwa matrilioni,na kama vile somo halijaeleweka naona mchezo wa kucheza na haki za watu unaendelea kwa hoja mfu kwamba hao watu walikosea kwanza hivyo hawapaswi kupewa haki!!

Nataraji ndani ya Mwaka huu na ujao mahakama kujaa utitiri wa kesi za madai ya matrilioni na ambazo kwa asilimia mia serikali itashindwa,tusiwalaumu mawakili wa serikali pale serikali inaposhindwa kesi,mpaka kesi imfikie wakili wa serikali,tayari mambo yameshaharibika,kwa mfano tamko la kufukuza mtu jukwaani Iinatolewa papo hapo bila kumshirikisha halafu serikali ikishtakiwa unataraji ishinde!!!

Viongozi wanaogopa kushauri wameacha jahazi lizame ili iwe sehemu ya somo,Sokoine alitawala kwa kipindi chake ambacho hakilingani na hiki,sasa wananchi wana uelewa na Uhuru mkubwa wa kudai haki,watazidai na nafikiri serikali imeliona hilo.

Tuliwahi kubomoa sheli ya mMansoor pale Mwanza tukalipa mabilioni,bado mabilioni ya kesi ya Samaki wa Magufuli,hizo ni baadhi tu ya kesi zinazoweza kuwa somo Zuri kwa serikali na wananchi kwamba fidia hizo ni kodi zetu,kama maamuzi mazuri yangefanyika kwa kufata sheria tungezitumia kujenga barabara,zahanati,madawati,shule.


Muda utaongea
 
Hilo laja hata mimi nilishawaza hivyo siku nyingi tu ila nikajifariji kwa kusema haya majibu ndio yatakuwa kete ya UKAWA 2020.
 
Ninaamini hiki ni kipindi cha mavuno kwa mawakili ambao watakuwa wakifanya Kazi ya kuinyoosha serikali mahakamani ili ifuate utawala wa sheria. Kesi mamia kama si maelfu zitafunguliwa na wananchi na makampuni kudai fidia za kudhalilishwa au kunyanganywa mali zao,suala la majipu ni mojawapo,suala la kunyanganya watu mashamba,suala la kupokonya sukari,kufukuza watu bila kuwasikiliza,serikali kugoma kulipa baadhi ya madeni halali na mengine mengi.Naamini waziri wa sheria ni mbobezi lazima ameshamwambia kwamba haya mambo yataitia hasara serikali kwa matrilioni,na kama vile somo halijaeleweka naona mchezo wa kucheza na haki za watu unaendelea kwa hoja mfu kwamba hao watu walikosea kwanza hivyo hawapaswi kupewa haki!! Nataraji ndani ya Mwaka huu na ujao mahakama kujaa utitiri wa kesi za madai ya matrilioni na ambazo kwa asilimia mia serikali itashindwa,tusiwalaumu mawakili wa serikali pale serikali inaposhindwa kesi,mpaka kesi imfikie wakili wa serikali,tayari mambo yameshaharibika,kwa mfano tamko la kufukuza mtu jukwaani Iinatolewa papo hapo bila kumshirikisha halafu serikali ikishtakiwa unataraji ishinde!!! Viongozi wanaogopa kushauri wameacha jahazi lizame ili iwe sehemu ya somo,sokoine alitawala kwa kipindi chake ambacho hakilingani na hiki,sasa wananchi wana uelewa na Uhuru mkubwa wa kudai haki,watazidai na nafikiri serikali imeliona hilo,tuliwahi kubomoa sheli ya mansoor pale mwanza tukalipa mabilioni,bado mabilioni ya kesi ya Samaki wa magufuli,hizo ni baadhi tu ya kesi zinazoweza kuwa somo Zuri kwa serikali na wananchi kwamba fidia hizo ni kodi zetu,kama maamuzi mazuri yangefanyika kwa kufata sheria tungezitumia kujenga barabara,zahanati,madawati,shule

Haya yangeweza kuwa kweli kama tu serikali ingelikuwa inaongozwa kwa kufuata misingi ya katiba na sheria. Lakini hapa sioni kama hili linaweza kutokea kwa sababu tu ya mfumo wa ccm ya sasa iliyokataliwa na wananchi, na jinsi inavyolazimisha kutawala taifa hili kwa mababu bila kuzingatia watu wanataka nini.

1. Mahakama zote ni za serikali, na serikali ni ya Magu. Kwa hapa ukinyumbulisha, utabaini kwamba kila kitu hapa Tanzania kitaendeshwa kwa utashi wa serikali ambayo si ya Watanzania.

2. Ukitaka kuona, angalia namna kesi ya Wenje ilivyoendeshwa. Yeyote atakayepeleka kesi mahakamani inayotishia maslahi ya viongozi wa ccm itakuwa kama ya Wenje.

3. Pengine tu la kuhofia ni kwamba baada ya Magu kumaliza muda wake, tutegemee kasi ya ajabu ya umafia, wizi, ubadhirifu na ufisadi kutoka Ccm ili kufidia kipindi hiki ambacho kinawadhibiti wale wanyongewanyonge. Hapa wanasoma number ii kesho wasifanye makosa. Na hiii itatokea kwa sababu hakuna chochote endelevu kinafanywa hapa zaidi ya harakati za kuwasahaulisha Watz yaliyotokea kwenye uchaguzi. Pilika pilika ziszokuwa na matokeo yoyote zaidi ya kuzidisha ugumu wa maisha.

Hadi hapo Ccm itakapolazimishwa kuondoka madarakani. Hapo ambapo TISS na Jeshi la polisi watakapojitambua na kuona kwamba hata wao na familia zao ni waathirika wa serikali ya ccm wanayoilazimishia kuongoza nchi, wakaamua kukaa katika misingi ya haki, hapo ndipo mabadiliko ya kweli yatatokea Tanzania.
 
Mpaka sasa serikali inadaiwa na wale wana ccm wenzake wa ARV's fake na mahakama imeamua walipwe Magufuli amesema hata lipa, na hata hayo madai mengine atasema silipi kwa kuwa watu wamemuambia wanahitaji dikteta na ndivyo anavyofanya, tunavuna tunavyo vishangilia, sasa sijui itakuwaje watakapo enda mahakama za mbele zaidi?
 
Tusubiri tuone ni suala la muda tu, kwa upande wa bunge yule mtu wake aliyemuweka kwa mkono wa chuma (NS)tumeanza kumuona vitendo vyake
 
hivi najiuliza hivi wewe mwananchi wa Naminyere kule ukiishinda serikali mahakamani akitokea Magu akasema sikulipi utafanyaje?
 
Ninaamini hiki ni kipindi cha mavuno kwa mawakili ambao watakuwa wakifanya Kazi ya kuinyoosha serikali mahakamani ili ifuate utawala wa sheria.

Kesi mamia kama si maelfu zitafunguliwa na wananchi na makampuni kudai fidia za kudhalilishwa au kunyanganywa mali zao.

Suala la majipu ni mojawapo,suala la kunyanganya watu mashamba,suala la kupokonya sukari,kufukuza watu bila kuwasikiliza,serikali kugoma kulipa baadhi ya madeni halali na mengine mengi.

Naamini waziri wa sheria ni mbobezi lazima ameshamwambia kwamba haya mambo yataitia hasara serikali kwa matrilioni,na kama vile somo halijaeleweka naona mchezo wa kucheza na haki za watu unaendelea kwa hoja mfu kwamba hao watu walikosea kwanza hivyo hawapaswi kupewa haki!!

Nataraji ndani ya Mwaka huu na ujao mahakama kujaa utitiri wa kesi za madai ya matrilioni na ambazo kwa asilimia mia serikali itashindwa,tusiwalaumu mawakili wa serikali pale serikali inaposhindwa kesi,mpaka kesi imfikie wakili wa serikali,tayari mambo yameshaharibika,kwa mfano tamko la kufukuza mtu jukwaani Iinatolewa papo hapo bila kumshirikisha halafu serikali ikishtakiwa unataraji ishinde!!!

Viongozi wanaogopa kushauri wameacha jahazi lizame ili iwe sehemu ya somo,Sokoine alitawala kwa kipindi chake ambacho hakilingani na hiki,sasa wananchi wana uelewa na Uhuru mkubwa wa kudai haki,watazidai na nafikiri serikali imeliona hilo.

Tuliwahi kubomoa sheli ya mMansoor pale Mwanza tukalipa mabilioni,bado mabilioni ya kesi ya Samaki wa Magufuli,hizo ni baadhi tu ya kesi zinazoweza kuwa somo Zuri kwa serikali na wananchi kwamba fidia hizo ni kodi zetu,kama maamuzi mazuri yangefanyika kwa kufata sheria tungezitumia kujenga barabara,zahanati,madawati,shule.
Wewe jinga! Kweli
 
Mpaka sasa serikali inadaiwa na wale wana ccm wenzake wa ARV's fake na mahakama imeamua walipwe Magufuli amesema hata lipa, na hata hayo madai mengine atasema silipi kwa kuwa watu wamemuambia wanahitaji dikteta na ndivyo anavyofanya, tunavuna tunavyo vishangilia, sasa sijui itakuwaje watakapo enda mahakama za mbele zaidi?
Kwa mwendo huu hata uende wapi hutalipwa hata ushinde kesi
 
Kwa mwendo huu hata uende wapi hutalipwa hata ushinde kesi
Ndio maisha ya kishetani aliyo ahidi kila mahali ni kulia na kusaga meno, unaondoka nyumbani bila chai unaenda mahakamni unashinda kesi halafu unaambiwa hulipwi madai yako, vipi hujajiunga na shetani tu katika mamlaka zake?
 
Acha Upumbavu, unadhani Serikali inaendeshwa kwa hisia za UKAWA?
povu ya nini Kiongozi? kama unaona mtoa uzi kakosea tuwekee nzuri ili tufanyie kazi! hii ukawa ukawa haisaidii hapa!; tunajadili hapa tunajadili kama wananchi ili tupate ufumbuzi! mbona hata Mkulu amesema ile kesi yake ya samaki ilichakachuliwa..jeejee naye ukawa...
 
Yawezekana maoni yako kama itakua wanasheria na mahakimu wamenunuliwa?
 
Back
Top Bottom