Interview ya post gani?
Inakatisha tamaa sana. watu 3000+ post ni 50. simple ratio ni kwamba nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya 60. Kitu ambacho hakiwezekani kabisa.
Ingekuwa fair nafasi moja igombaniwe na watu wasiozidi watano. I mean wangeita watu max 250 tu.
Ila cyo issue Wala nn? Paper Mtu umepata zote alafu unaachwa!!!!100%!!!!????
Mambo ya vimemo hayo utakuta hapo mlikua mnagombea nafasi aliyefaulu na anaejulikana..unazani nani atachukuliwa hapo.we usiomjua mtu utaachwa tu wanajua kazi zenyewe hata kama ujafaulu ukifundishwa unafanya tu ndio mana wanawabeba wenye kujulikana