Ndalichako: Wanaodaiwa na HESLB tutaweka majina yao magazetini kuwashinikiza kulipa

Ni bora tulipe kabla hatujadhalilika isitoshe unapolipa unatoa fulsa kwa wanao na ndugu zako nao kupata elimu ya mkopo pia unafungua milango ya baraka.
 
Waziri wa elimu Joyce Ndalichako amesema wana mpango wa kuweka majina ya wadaiwa na bodi ya mikopo kwenye magazeti ili kuwashinikiza walipe, amewaasa wadaiwa wakiwapo wabunge walipe ili majina yao yasiwekwe.

Hilo ni wazo zuri, tatizo Watanzania hatuna uzalendo na nchi yetu mtu amemaliza kusoma na kazi amepata lakini hataki kulipa anajiunga na wasiopata kazi akijifanya naye hajapata kazi.Dawa ni hiyo hiyo, maanake wakati tunasoma tulikuwa kelo sana kwa serikali mkopo ukichelewa tu tunaandamana au tunagoma kuingia madarasani mpaka serikali ituingizie boom, hongela mama Ndalichako kama alivyosema Rais nchi hii bila kwata hatuendi.
 
Hata waki bold jina langu kwa red kazi bureee,sio kama sitaki kulipa bali sina cha kuwalipa, wangenipa kazi ningewalipa bt kwa hivi wanajisumbua sana sana watanipa kick nami nionekane kama wale wanaodaiwa na sirikali..
 
Wao nao mbona walisomeshwa na serikali na hawaanzi kulipa ndio wawaadai vijana ambao hawana ajira.
 
Ndalichako Mama, deni lako tunalikumbuka ila jinsi ya kukulipa ndo shida tunatoa wapi sasa?? ushauri wa bure samehe madeni yote tuanze Moja
 
Walikutangazaje mkuu mbona sisi hawatutangazi?
 
Waziri wa elimu Joyce Ndalichako amesema wana mpango wa kuweka majina ya wadaiwa na bodi ya mikopo kwenye magazeti ili kuwashinikiza walipe, amewaasa wadaiwa wakiwapo wabunge walipe ili majina yao yasiwekwe.

Waziri kabla ujatoa majina fatilia kwanza nani na nni Wako kazini,ila ukitoa jina la mtu hana kazi toka kamaliza masomo ni kudhalilisha kwenye magazeti.Mpatie ajila alafu mpe mda alaafu anza kumdai.
 
Wenye kilio kama chako tupo japokuwa si wengi ki hivyo. La msingi tuwe na tabia ya kulipa madeni yetu bila shuruti.
 
Mkopo wenyewe wameuwekea riba, inayoitwa Retention fee kitu ambacho hakikuwepo kwenye mkataba wao wa awali.

Wezi wezi tu hawa
 


Ndiyo shida ya Watanzania. Ni shida dunia nzima na tunafahamika hivi. Umepokea mkopo unatakiwa kwenda kulipa. Suala la ajira haliwemo kwenye makubaliano ya mkopo uliopewa. Tuone sasa kama hamtalipa!
 
Hahaha nimemkimbuka mdegela na mkiza ghafla
Ndelichako akome, mimi niliomba kazi ya kudai madeni pale Bodi ya mkopo, ila nilinyimwa nafasi, kisa sina ndugu pale, sasa sina ajira unategemea ntalipaje mkopo, nipe ajira uone kama ntakwepa?
 
Hahaha nimemkimbuka mdegela na mkiza ghafla
daaa, jichek akili mkuu, unakumbuka mbwea hao? mtu km mdegera unamkumbuka ili iweje? mi hata nikikutana nae, huwa najifanya simmkumbuki hata kama idea ikinijia, kuna siku nilimwagia maji machafu, alikuwa karibu na dimbwi mi napita uku badrive, nililazimika kuingia dimbwini ili nimuogeshe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…