GE2025 Ndaisaba George Ruhoro atinga na baiskeli kuchukua fomu ya kutetea ubunge jimbo la Ngara

GE2025 Ndaisaba George Ruhoro atinga na baiskeli kuchukua fomu ya kutetea ubunge jimbo la Ngara

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mbunge wa jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amechukua fomu ya maombi ya kuomba tena ridhaa ya kugombea ubunge kwa kipindi kingine cha miaka mitano kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025


Fomu hiyo ameichukua leo Juni 30 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi CCM Ngara Mkoani Kagera.

Ndaisaba anaomba ridhaa ya kugombea ubunge katika Jimbo hilo kwa muhula wa pili

WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.15.jpeg
WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.16 (1).jpeg
 

MBUNGE RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030

Mbunge wa jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amechukua fomu ya maombi ya kugombea tena nafasi ya ubunge kwa kipindi kingine cha 2025/30 kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fomu hiyo ameichukua leo Juni 30 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi CCM Ngara Mkoani Kagera. Hata hivyo vyombo vya habari vilivyokuwepo katika eneo la tukio walipotaka mahojiano hakuwa tayari kuzungumzia chochote zaidi alisema wakati ukifika atazungumza.

Ikumbukwe kuwa Mheshimiwa Ruhoro ni miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa kwa wananchi wa jimbo lake kwani wananchi hao wamekuwa wakimchangia fedha kwaajili ya kuchukua fomu ya kugombea tena katika kipindi kingine 2025-2030.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.17 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.17 (1).jpeg
    285.7 KB · Views: 22
  • WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.17.jpeg
    WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.17.jpeg
    434.6 KB · Views: 21
  • WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.16 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.16 (1).jpeg
    863.8 KB · Views: 19
  • WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.16.jpeg
    WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.16.jpeg
    556.9 KB · Views: 17
  • WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.15 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.15 (1).jpeg
    623.2 KB · Views: 18
  • WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.15.jpeg
    WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.15.jpeg
    296.3 KB · Views: 16
  • WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.14 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.14 (1).jpeg
    285.4 KB · Views: 22
  • WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.14.jpeg
    WhatsApp Image 2025-06-30 at 14.28.14.jpeg
    285.7 KB · Views: 19
Duh aiseee
Kila mtu safari hii anaweka mbwembwe zake kisiasa. Masikitiko ni kuwa Tanzania ni siasa, siasa, siasa hata mahala pasipohitaji siasa. Elimu ni siasa, Barabara, siasa, afya siasa, kilimo siasa, hatuachi utaalam, utendaji, utumishi, utafiti na ugunduzi vijitenge mbali na siasa.
 
Usishangae mwingine akienda anajishenyenta kwa makalio kama kiwete kwenda kuchukua form..

Wanasiasa wetu wameshatuona sisi ni MAZUMBUKUKU
 
Jina tu la Ndaisaba hatakiwi kurudi Bungeni ilo Jina tayari ni tatizo
 
Back
Top Bottom