Mgombea mwenza wa Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Wana-CCM na Wakazi wa ilala wametangaza kuwa siku ya uchaguzi Oktoba 29 ni samia Day
Nchimbi amesema hayo Leo Oktoba 1, 2025 akiwa katika mkutano wa kampeni maeneo ya Machinga Complex jimbo la ilala Jijini Dar es salaam Katika muendelezo wa kunadi sera za chama cha mapinduzi pamoja na kumuombea kura Rais Samia Suluhu Hassani, wabunge na madiwani
Mbali na hayo Dkt Nchimbi amempongeza Mgombea ubunge wa Jimbo la ilala Mhe Azzan Zungu katika kipindi alichotumikia ndani ya CCM hasa nafasi yake ya ubunge katika jimbo hilo pamoja na kutambua mchango wake ndani ya Chama
Aidha Dkt Nchimbi amewasilisha Salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na wakazi wa ilala.
Mgombea mwenza wa Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Wana-CCM na Wakazi wa ilala wametangaza kuwa siku ya uchaguzi Oktoba 29 ni samia Day
Nchimbi amesema hayo Leo Oktoba 1, 2025 akiwa katika mkutano wa kampeni maeneo ya Machinga Complex jimbo la ilala Jijini Dar es salaam Katika muendelezo wa kunadi sera za chama cha mapinduzi pamoja na kumuombea kura Rais Samia Suluhu Hassani, wabunge na madiwani
Mbali na hayo Dkt Nchimbi amempongeza Mgombea ubunge wa Jimbo la ilala Mhe Azzan Zungu katika kipindi alichotumikia ndani ya CCM hasa nafasi yake ya ubunge katika jimbo hilo pamoja na kutambua mchango wake ndani ya Chama
Aidha Dkt Nchimbi amewasilisha Salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na wakazi wa ilala.