change is must
Member
- Aug 1, 2012
- 38
- 5
Ngd wanajamii,
hivi kwaniini Tanzania viongozi hawana tabia ya kuwajibika? Au ndio kulewa madaraka ya kuteuliwa? Inasikitisha sana kuona waziri huyu kutokuwajibika hasa baada ya mfululizo wa matukio mabaya.
My take
Bila kuwajibika hatuta komesha tabia za uzembe wa viongozi.
hivi kwaniini Tanzania viongozi hawana tabia ya kuwajibika? Au ndio kulewa madaraka ya kuteuliwa? Inasikitisha sana kuona waziri huyu kutokuwajibika hasa baada ya mfululizo wa matukio mabaya.
My take
Bila kuwajibika hatuta komesha tabia za uzembe wa viongozi.