GE2025 Nchimbi kama kajichanganya vile , this goverment will collapse in 3 - 4 years

GE2025 Nchimbi kama kajichanganya vile , this goverment will collapse in 3 - 4 years

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,329
Reaction score
4,198
I will be short

Nchimbi kajichanganya sana . Ni kama yupo peke yake amezungukwa na watu wasio kuwa na mema ya chama , hili swala litamtia matatizoni sana nchombi . Maana lazima ataongea kitu positive tu . Watu awataki hivyo .

Nchimbi ni mtu smart sana . Sema position yake aipo sawa .

Nchimbi ndo atakuwa raisi nje ya tanzania . Maana mama kajikologa huko nje watu awamtaki hata kumsikia . Protest and haters wapo wengi sana .

Sasa nchimbi sijui ataongea nini . Any way yupo . Ila kuna kila sign this goverment will fail and tanzania economy will crash in 3 -4 years .

Watu awana vision ya future governmence . Ila things are not good on the ground .

Nchi yangu good luck huko mbele.
 
Ila kuna kila sign this goverment will fail and tanzania economy will crash in 3 -4 years .
Mkuu siyo kweli. Kuna rais alichukiwa nje ya nchi yake kama Mugabe? Mugabe aliwanyanyasa wazungu kwa kuwanyang'anya mali zao, lkn ni mpk wananchi wake walipoamka ndipo akaondolewa.

Samia atamaliza mitano na Abdul (ama kakake Ridhiwani) atapewa urais naye atamaliza miaka 10, kama tutaendelea kulala usingizi.
 
Mkuu siyo kweli. Kuna rais alichukiwa nje ya nchi yake kama Mugabe? Mugabe aliwanyanyasa wazungu kwa kuwanyang'anya mali zao, lkn ni mpk wananchi wake walipoamka ndipo akaondolewa.

Samia atamaliza mitano na Abdul (ama kakake Ridhiwani) atapewa urais naye atamaliza miaka 10, kama tutaendelea kulala usingizi.
Mugabe na this government amna tofauti . Mugabe was not accepted internationally so will be the next president . Sasa watu wameforce hivyo hivyo . Ending yake we will be watching .

Tatizo kubwa ni growing numbers of opposition . Kama kila mtu anakupinga na auna watetezi wa Maana . Amna kitu una archive hata ufanye ninj . People won’t see the positive in your decision . Ilo ndo tatizo langu . Hata Kama huna kosa watakuhumu tu
 
Wazi
Mkuu siyo kweli. Kuna rais alichukiwa nje ya nchi yake kama Mugabe? Mugabe aliwanyanyasa wazungu kwa kuwanyang'anya mali zao, lkn ni mpk wananchi wake walipoamka ndipo akaondolewa.

Samia atamaliza mitano na Abdul (ama kakake Ridhiwani) atapewa urais naye atamaliza miaka 10, kama tutaendelea kulala usingizi.
Jeshi la zimbabwe hawakumtoa mugabe kwa sababu aliwanyanyasa wazungu lah! Ni kwa sababu za umri teyari alianza kupoteza kumbukumbu na kusababisha mkewe aendeshe nchi kwa niaba hiko kitu kiliwakere wanamapinduzi na viongi wa chama chake ivyo ikawa kama busara kumuondoa kwa heshima bila kumpindua.
 
Wazi
Jeshi la zimbabwe hawakumtoa mugabe kwa sababu aliwanyanyasa wazungu lah! Ni kwa sababu za umri teyari alianza kupoteza kumbukumbu na kusababisha mkewe aendeshe nchi kwa niaba hiko kitu kiliwakere wanamapinduzi na viongi wa chama chake ivyo ikawa kama busara kumuondoa kwa heshima bila kumpindua.
Issue hiyo ndo nimesema Kama kuna growing numbers of opposition . Ni swala mda mambo yako kuwa magumu kila upande . Politics ni ku balance haters and lovers . Wengi wakizidi lazima Ilete shida
 
Wazi
Jeshi la zimbabwe hawakumtoa mugabe kwa sababu aliwanyanyasa wazungu lah! Ni kwa sababu za umri teyari alianza kupoteza kumbukumbu na kusababisha mkewe aendeshe nchi kwa niaba hiko kitu kiliwakere wanamapinduzi na viongi wa chama chake ivyo ikawa kama busara kumuondoa kwa heshima bila kumpindua.
Sawa mkuu. Museven yuko ikulu huku akitetemeka mwili mzima kwa uzee. Waganda hawamtaki na upinzani ni mkubwa sana lkn yupo mpk kesho.

Afrika aliyeturoga naye alirogwa akafa.
 
Sawa mkuu. Museven yuko ikulu huku akitetemeka mwili mzima kwa uzee. Waganda hawamtaki na upinzani ni mkubwa sana lkn yupo mpk kesho.

Afrika aliyeturoga naye alirogwa akafa.
Kumbukumbu bado zipo sawa yule mzee ni changamoto tu cha maradhi ya mwili .
 
I will be short

Nchimbi kajichanganya sana . Ni kama yupo peke yake amezungukwa na watu wasio kuwa na mema ya chama , hili swala litamtia matatizoni sana nchombi . Maana lazima ataongea kitu positive tu . Watu awataki hivyo .

Nchimbi ni mtu smart sana . Sema position yake aipo sawa .

Nchimbi ndo atakuwa raisi nje ya tanzania . Maana mama kajikologa huko nje watu awamtaki hata kumsikia . Protest and haters wapo wengi sana .

Sasa nchimbi sijui ataongea nini . Any way yupo . Ila kuna kila sign this goverment will fail and tanzania economy will crash in 3 -4 years .

Watu awana vision ya future governmence . Ila things are not good on the ground .

Nchi yangu good luck huko mbele.
Sio no reforms no elections tena? Sasa ni this government will collapse in 3 - 4 years! 😜
 
I will be short

Nchimbi kajichanganya sana . Ni kama yupo peke yake amezungukwa na watu wasio kuwa na mema ya chama , hili swala litamtia matatizoni sana nchombi . Maana lazima ataongea kitu positive tu . Watu awataki hivyo .

Nchimbi ni mtu smart sana . Sema position yake aipo sawa .

Nchimbi ndo atakuwa raisi nje ya tanzania . Maana mama kajikologa huko nje watu awamtaki hata kumsikia . Protest and haters wapo wengi sana .

Sasa nchimbi sijui ataongea nini . Any way yupo . Ila kuna kila sign this goverment will fail and tanzania economy will crash in 3 -4 years .

Watu awana vision ya future governmence . Ila things are not good on the ground .

Nchi yangu good luck huko mbele.
Wapinzani wa Samia wote wameamua kuwa manabii koko. Wanatabiri kila siku. Kuna wanaoona uchaguzi hautafanyika, wengine wanaona sijui eti atakufa, wengine wanasema kutakuwa vita.

Mimi niwashauri tu kuwa hata Nyerere hakupendwa na wote, hivyo siyo ajabu kuwapo wanaomchukia Samia. Hata mitume wetu Yesu na Muhammad hawakupendwa na wote.

Nyie mna haki ya kumchukia na kutompigia kura lakini kumchulia mabaya mnapoteza muda. Hakuna binadamu anauwezo wa kujua binadamu mwenzie atakufa lini. Ni Mungu tu
 
Sawa mkuu. Museven yuko ikulu huku akitetemeka mwili mzima kwa uzee. Waganda hawamtaki na upinzani ni mkubwa sana lkn yupo mpk kesho.

Afrika aliyeturoga naye alirogwa akafa.
Museveni ni tofauti na senario za siasa zetu, Kumbuka Museveni aliingia madarakani baada ya kumshinda mpinzani wake kijeshi. Aliingia kwenye Serikali ya mpito kwanza wakazinguana kisha akaamua kuingia msituni akisaidiwa na akina Kagame. Ili umtoe M7 ni lazima uingie msituni pia na waganda hawawezi kumlaumu kwa uamuzi wake huo..... Ni tofauti na Tanzania, sisi tumepata uhuru bila mapigano tena bila kujitayarisha kuupokea uhuru.
 
Wapinzani wa Samia wote wameamua kuwa manabii koko. Wanatabiri kila siku. Kuna wanaoona uchaguzi hautafanyika, wengine wanaona sijui eti atakufa, wengine wanasema kutakuwa vita.

Mimi niwashauri tu kuwa hata Nyerere hakupendwa na wote, hivyo siyo ajabu kuwapo wanaomchukia Samia. Hata mitume wetu Yesu na Muhammad hawakupendwa na wote.

Nyie mna haki ya kumchukia na kutompigia kura lakini kumchulia mabaya mnapoteza muda. Hakuna binadamu anauwezo wankujua binadamu mwenzie atakufa lini. Ni Mungu tu
Mpaka sasa tabiri kama 10 mbaya dhidi yake pamoja na serikali yake zimefeli.
 
I will be short

Nchimbi kajichanganya sana . Ni kama yupo peke yake amezungukwa na watu wasio kuwa na mema ya chama , hili swala litamtia matatizoni sana nchombi . Maana lazima ataongea kitu positive tu . Watu awataki hivyo .

Nchimbi ni mtu smart sana . Sema position yake aipo sawa .

Nchimbi ndo atakuwa raisi nje ya tanzania . Maana mama kajikologa huko nje watu awamtaki hata kumsikia . Protest and haters wapo wengi sana .

Sasa nchimbi sijui ataongea nini . Any way yupo . Ila kuna kila sign this goverment will fail and tanzania economy will crash in 3 -4 years .

Watu awana vision ya future governmence . Ila things are not good on the ground .

Nchi yangu good luck huko mbele.
Wanaoongea negative hawajaanza kuwepo TZ jana wala juzi tangu miaka ya kabla ya vyama vingi havijaingia.

Prophets of doom tunao wa kutosha sana. Kwa uhakika ni kwamba Samia hapendi makeke mengi anafanya makubwa bila ya kulazimika kujitangaza. Chawa wake kwa sababu wanapata kuendesha maisha kwa kusifia ndio huja kuelezea kipi kilichofanyika katika muda upi.

Usiogope Tanzania ipo katika mikono salama sana. Samia anao washauri ambao kwa bahati nzuri wanajua wanachofanya na wanayemshauri anawasikia na kuwapa uhuru wa kufanya kazi kitaalam.
 
I will be short

Nchimbi kajichanganya sana . Ni kama yupo peke yake amezungukwa na watu wasio kuwa na mema ya chama , hili swala litamtia matatizoni sana nchombi . Maana lazima ataongea kitu positive tu . Watu awataki hivyo .

Nchimbi ni mtu smart sana . Sema position yake aipo sawa .

Nchimbi ndo atakuwa raisi nje ya tanzania . Maana mama kajikologa huko nje watu awamtaki hata kumsikia . Protest and haters wapo wengi sana .

Sasa nchimbi sijui ataongea nini . Any way yupo . Ila kuna kila sign this goverment will fail and tanzania economy will crash in 3 -4 years .

Watu awana vision ya future governmence . Ila things are not good on the ground .

Nchi yangu good luck huko mbele.
Kwanza kwanini hajajiuzulu cheo cha katibu mkuu wa chama ili asi compromise watu kuwashawishi kwa njia ya duress?
 
Ila JF 🙌🏽 Kuna watu eti wanawashauri Dr Nchimbi na Dr Migiro kuwa wameingizwa chaka kuwa wannaJF ndio wanajua kuliko wao😂
 
I will be short

Nchimbi kajichanganya sana . Ni kama yupo peke yake amezungukwa na watu wasio kuwa na mema ya chama , hili swala litamtia matatizoni sana nchombi . Maana lazima ataongea kitu positive tu . Watu awataki hivyo .

Nchimbi ni mtu smart sana . Sema position yake aipo sawa .

Nchimbi ndo atakuwa raisi nje ya tanzania . Maana mama kajikologa huko nje watu awamtaki hata kumsikia . Protest and haters wapo wengi sana .

Sasa nchimbi sijui ataongea nini . Any way yupo . Ila kuna kila sign this goverment will fail and tanzania economy will crash in 3 -4 years .

Watu awana vision ya future governmence . Ila things are not good on the ground .

Nchi yangu good luck huko mbele.
Wewe familia Yako inacollapse within 2 years, hivyo utamwacha Samia akiendelea na uongozi wake
 
Sio Nchimbi tu aliyeingia kwenye zizi la nguruwe, yupo pia Asha Migiro.... Naamini ameingia kichwa kichwa bila kutafakari au amelazimishwa na yule Mzee wa kuchekacheka aliyemfungilia marisho kwenye uwanda wa kimataifa.
Kaja kwa mchepuko wake, yeye na fisadi la Msoga mpaka kifo ndiyo kitawatenganisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom