Wewe huna adabu kabisa.
Kama lingekuwa ni swali la kuulizwa Viongozi basi inabidi mmuulize Nyererer sio JK.
Lakini uzuri hili swali linatakiwa kujibiwa na kinaa Mtikila na waote mnao dai kuwa mnataka Tanganyika yenu maana ni wazi mnajua ilipo kwenda.
Sitegemei kuwa mnadai kitu ambaacho hamjui kiko wapi na huu utakuwa ni wendawazimu.
Wengi wanao dai Tanganyika wana dai jina tuu hakuna kingine maana watu wenye hoja ya msingi ni wazanzibari maana ni kweli hawana mamlaka na nyie mnao dai jina ndio mmekuwa wasemaji wao wa kila kitu wakati nyie' vya kwenu mnasema wenyewe.
...........................................
Wanao dai Tanganyika watuoneshe hiko wapi na wamepungukiwa nini?
MBONA UNATOKWA NA POVU?