and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,110
Najiuliza tu kwamba serikali ijayo itaanzisha viwanda kila kona je mgao wa umeme utadhibitiwa vipi? Hapa mwanza kila siku ni mgao wa masaa 12 mpaka 16 khivyo viwanda vitatumia mafuta ya taa?