Nchi ya viwanda bila misitu?

Nchi ya viwanda bila misitu?

NGOLO Jr

Member
Joined
Sep 14, 2018
Posts
12
Reaction score
7
Tunaposema nchi ya viwanda tunatizama mambo mengi ya kimsingi ambayo ni muhimu kwa jamii na kwa dunia pia.

Huwezi kuwa na sera ya viwanda halafu ukashindwa kusimamia misitu lazima utakuwa mtu wa hovyo.

Tuitizame Shinyanga ilivyo jangwa. Leo Morogoro bila Mbunge, Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Mwananchi kusimamia utunzaji wa mazingira kwa ujumla itageuka jangwa.

Vyanzo vya maji vimeanza kukauka, uoto wa asili umeshapotea na miti ya asili nayo imepotea.

Tukumbuke bila uwepo wa mpango mkakati wa kulinda, kutunza, kuthamini vyanzo vya maji na misitu hatuwezi kufikia malengo na Sera ya viwanda.
 
Hii bhana no miongoni mwa dhana ile ile ya Mkokoteni kuvuta Farasi in voice of subwoofer wetu
 
Tunaposema nchi ya viwanda tunatizama mambo mengi ya kimsingi ambayo ni muhimu kwa jamii na kwa dunia pia.

Huwezi kuwa na sera ya viwanda halafu ukashindwa kusimamia misitu lazima utakuwa mtu wa hovyo.

Tuitizame Shinyanga ilivyo jangwa. Leo Morogoro bila Mbunge, Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Mwananchi kusimamia utunzaji wa mazingira kwa ujumla itageuka jangwa.

Vyanzo vya maji vimeanza kukauka, uoto wa asili umeshapotea na miti ya asili nayo imepotea.

Tukumbuke bila uwepo wa mpango mkakati wa kulinda, kutunza, kuthamini vyanzo vya maji na misitu hatuwezi kufikia malengo na Sera ya viwanda.
Naunga mkono hoja. Niliishi Moro kwenye miaka ya 80, ukiwa mjini ulikuwa unaona jinsi maji yanatiririka toka milima ya Uruguru. Leo kweupeeee! Njia nzima toka pwani kulikuwa na misitu kibao sasa ni tambarare. Hata ile inajaribu kuota inachomwa!
Bila misitu na maji utawezaje kujiendeleza? Kilimo kinakufua, ujenzi ni shida sababu miti inaishia kwenye mikaa na magogo kwenda uchina. Tusubiri miaka 200 labda watakaokuwepo watafaidika.
 
Back
Top Bottom