ANAUPIGA MWINGI
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 389
- 753
Ukiangalia report ya CAG ni upigaji juu ya upigaji, ingawa hii ni normal kwa miaka yote na report zote huwa ni upugaji kwenda mbele.
Kitu kinacho nishangaza kidogo ni raia kufurahia upigaji au kuto kujali upigaji unao fanywa. Ukwel ni kwamba hata kama Baadhi ya yetu tuna uwezo kifedha lakini ni ukweli kwamba Upigaji unaathiri sana feature ya sisi au hata watoto wetu.
Ndugu zetu pia vijijini kule ni wahanga wakuu wa huu upigaji, Make ukingalia MSD ni upigaji na ku over price madawa, hii maana yake inaathiri ndugu zetu moja kwa moja hata kama sisi tunajuona tuna pesa za kumudu madawa kwenye private hospital.
Huu upigaji hauwezi isha kama raia sisi tuko mstari wa mbele kushangilia upigaji na hii inawapa ahueni watawala, Ukiangalia hata Mkuu wa nchi upigaji haumunyimi usingizi kwa sababu anajua raia wenyewe wanaunga mkono upigaji.
Ukweli ni kwamba bila raia kusimama kidete upigaji hautakaaa upungue kwa sababu watawala ni kama wanaunga mkono upigaji au walisha nyanyua mikono juu na hawana cha kufanya.
Unazania kwa upigaji wa MSD ni raia wangapi vijijini na mijini wamekufa kwa kukosa pesa za huduma zilizo kuwa juu kwa sababu ya Over price ya manunuzi ya MSD? Lakini watawala sana wanacho fanya ni kuisafisha MSD, unaisafisha MSD wakati watu walisha piga pesa za kula miaka 50 ijayo? na sana sana watahamishwa Sekita zingine?
Sioni Dalili za upigaji nchi hii kupungua kwa sababu Raia wenyewe ni waunga mkono upigaji
Kitu kinacho nishangaza kidogo ni raia kufurahia upigaji au kuto kujali upigaji unao fanywa. Ukwel ni kwamba hata kama Baadhi ya yetu tuna uwezo kifedha lakini ni ukweli kwamba Upigaji unaathiri sana feature ya sisi au hata watoto wetu.
Ndugu zetu pia vijijini kule ni wahanga wakuu wa huu upigaji, Make ukingalia MSD ni upigaji na ku over price madawa, hii maana yake inaathiri ndugu zetu moja kwa moja hata kama sisi tunajuona tuna pesa za kumudu madawa kwenye private hospital.
Huu upigaji hauwezi isha kama raia sisi tuko mstari wa mbele kushangilia upigaji na hii inawapa ahueni watawala, Ukiangalia hata Mkuu wa nchi upigaji haumunyimi usingizi kwa sababu anajua raia wenyewe wanaunga mkono upigaji.
Ukweli ni kwamba bila raia kusimama kidete upigaji hautakaaa upungue kwa sababu watawala ni kama wanaunga mkono upigaji au walisha nyanyua mikono juu na hawana cha kufanya.
Unazania kwa upigaji wa MSD ni raia wangapi vijijini na mijini wamekufa kwa kukosa pesa za huduma zilizo kuwa juu kwa sababu ya Over price ya manunuzi ya MSD? Lakini watawala sana wanacho fanya ni kuisafisha MSD, unaisafisha MSD wakati watu walisha piga pesa za kula miaka 50 ijayo? na sana sana watahamishwa Sekita zingine?
Sioni Dalili za upigaji nchi hii kupungua kwa sababu Raia wenyewe ni waunga mkono upigaji