Nchi "imetekwa" Tuamke.

ccm ni genge... Halihitaji kura za wananchi kufanya maamuzi yake!
 
Nyie Chadema hizo siasa zenu za kujenga chuki na kuwachonganisha viongozi na wananchi ...badala ya kujenga hoja hazitawasaidia KAMWE. Mnaonekana ni vihio wote
 
Kuna clip moja inaonesha how issue ya Adm na Hawa eden haikuwa tunda la kati bali ilikuwa dhana ya Mwanamke kutaka madaraka kumzidi mwanaume na kusahau ya kuwa mwanaume ndiye kiongozi wake(alikotoka ubavuni mwake)

Mwanamke akipata madaraka asipojua nafasi yake hugeuka kuwa mshirika wa shetani

And the devil's mission is to steal, kill and destroy.

Ndo kinacho endelea katika taifa hili.
 
Huyo Ndugai, Tulia, Simbachawene, Lukuvi walikuwa na nini cha maana cha kubadili Tanzania? Wanasiasa wanafanyiana ulafi na kufukuzana tu, hakuna mwema
 
Naamini barua kaandikiwa huyo na naamini ata hajaisoma. Na sahihi kawekewa
 
Ninaanza kupata wasiwasi pengine mama ni kiongozi sahihi.

i) Miladi iliyoanzishwa inakamilika
ii) Waliodaiwa kua wanamtandao wanawekwa pembeni

Je mama anakomboa nchi?
 
mbona wanaondolewa ni Wakristo tu..........kuna ajenda ya siri?
 
Hivi kweli CCM ilikosa mwanaume Mtanganyika kugombea urais hadi kutuletea mwanamke kutoka nchi jirani ya Zanzibar?
 
Ninaanza kupata wasiwasi pengine mama ni kiongozi sahihi.

i) Miladi iliyoanzishwa inakamilika
ii) Waliodaiwa kua wanamtandao wanawekwa pembeni

Je mama anakomboa nchi?
Unachekesha. Kila anayekohoa anatolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…