evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,333
katika nchi zenye utajiri mkubwa wa rasilimali Africa Tanzania inautajiri mkubwa,...
Mungu aliumba dunia na akaweka rasilimali mbalimbali kwa kila nchi kwa ajili ya raia husika wa nchi fulani zitumike sawasawa ktk kusaidia raia kuishi ktk mazngira na sehemu nzuri,.....alipoweka mafuta kwa wingi sana bas madini yapo machache,...alipoweka madini kwa wingi ameweka mafuta machache nk
Tanzania tumebarikiwa na madini ya kila aina kama almas,dhahabu nk,.TANZANITE dunia nzima inapatikana tz tu,...ila tangu tupate uhuru 1961 tanzanite inachimbwa kwetu lakini kusafishwa inaenda south africa na inawekwa nembo za south afrika inaenda world market kuuzwa ikiwa kama imetoka south,...na waliofanya haya ni viongoz na wanajua hayo lakini hawataki kutafuta majawabu ili kufanya mabadiliko na madini yetu waya procces hapa nchin na kuuza kwa nembo zetu zaidi tunajenga nchi za wenzetu sisi tukibaki duni,...huwa nawaza sana ni kwanini viongoz wetu hawana uzalendo na nchi yetu ya ilhali wameweka maslahi yao binafsi mbele kuliko maslahi ya nchi????na raia wakibaki maskini wa kutupwa
hii ni kutokana na tamaa pamoja na ulafi,....Almas,dhahabu,tanzanite,makaa ya mawe,.gas,mito,bahari(bandari ya dar,tanga,mtwara,kigoma,nk)mlima kilimanjaro
mbuga ya serengeti inaingiza zaidi ya watalii 4,52485 kwa mwaka
ni kiasi kikubwa sana cha pesa,.manyara watalii zaidi ya 187773 kwa mwaka,
tarangile watalii 165949 hapo bado mt.kilimanjaro wakwanza afrika,....nchi inaingiza pesa nyingi sana ktk sekta ya utarii pekee,...
mikataba ya madini iko hovyo na kunufaisha wawekezaji na nchi ikibaki tupu,..
wawekezaji wanachimba hadi udongo wanaondoka nao na kutuachia mashimo kwetu yaliyotukuka,.....
hivi hii nchi viongoz wake wakoje?????
hata kenya wanatuzidi ujanja,..kuna mtu humu jf alisema wakenya wanachukua udongo wa madini kwenye maroli wanasafirisha kwao kenya kutoka moshi,....kweli TZ tumefikia hatua viongoz wamekosa uzalendo namna hii?????
nilipata hope kidogo rais JPM alivyosema kuwa atshughulikia mikataba ya madini yote na atasimamia sekta zote za kuingiza pato nchini,.Lakini sioni nia hata chembe,..madini watu bado wanapiga,..bandari kule ticts kumebinafsishwa..hizi ni baadhi ya rasilimali kwa uchache
1: Dhahabu
2: Almasi
3: Tanzanite
4: Uranium ipo Lindi na Selous
5: Gas ya mtwara na pwani
6: Makaa ya Mawe
7: Chuma
8: mbuga za kutosha
9: Samaki...
10: mlima Kilimanjaro wa kwanza afrika
11: Ngorongoro Crater
12: bahar-Bandari ya dsm,mtwara,kigoma,tanga pia samaki zipo za kutosha,.....
Viongozi wangekuwa wazalendo nchi ingeendeshwa na bandari tu na inawezekana maana bandari ikisimamiwa vizuri tunapata matrillions ya pesa,...lkn viongoz wasio na maono wapo
na wamepita hawakuwa na mpya zaidi ya upigaji kujineemesha,.......
Tukijumlisha na kodi inayokusdanywa kwa mwezi ya trillion 1.1 nchi inaeza kwenda bila mikopo maana rasilimali za nchi hazisimamiwi vizuri na hicho ndicho chanzo cha umaskini.........
VIONGOZ TUWE WAZALENDO KWA NCHI YETU TURIDHIKE NA TUNACHOPATA KUTOKA KTK MISHAHARA.............tz ni nchi tajiri zaidi ya ujuavyo.....
hii ni list ya 2010
hii ni list ya mwaka2015
Mungu aliumba dunia na akaweka rasilimali mbalimbali kwa kila nchi kwa ajili ya raia husika wa nchi fulani zitumike sawasawa ktk kusaidia raia kuishi ktk mazngira na sehemu nzuri,.....alipoweka mafuta kwa wingi sana bas madini yapo machache,...alipoweka madini kwa wingi ameweka mafuta machache nk
Tanzania tumebarikiwa na madini ya kila aina kama almas,dhahabu nk,.TANZANITE dunia nzima inapatikana tz tu,...ila tangu tupate uhuru 1961 tanzanite inachimbwa kwetu lakini kusafishwa inaenda south africa na inawekwa nembo za south afrika inaenda world market kuuzwa ikiwa kama imetoka south,...na waliofanya haya ni viongoz na wanajua hayo lakini hawataki kutafuta majawabu ili kufanya mabadiliko na madini yetu waya procces hapa nchin na kuuza kwa nembo zetu zaidi tunajenga nchi za wenzetu sisi tukibaki duni,...huwa nawaza sana ni kwanini viongoz wetu hawana uzalendo na nchi yetu ya ilhali wameweka maslahi yao binafsi mbele kuliko maslahi ya nchi????na raia wakibaki maskini wa kutupwa
hii ni kutokana na tamaa pamoja na ulafi,....Almas,dhahabu,tanzanite,makaa ya mawe,.gas,mito,bahari(bandari ya dar,tanga,mtwara,kigoma,nk)mlima kilimanjaro
mbuga ya serengeti inaingiza zaidi ya watalii 4,52485 kwa mwaka
ni kiasi kikubwa sana cha pesa,.manyara watalii zaidi ya 187773 kwa mwaka,
tarangile watalii 165949 hapo bado mt.kilimanjaro wakwanza afrika,....nchi inaingiza pesa nyingi sana ktk sekta ya utarii pekee,...
mikataba ya madini iko hovyo na kunufaisha wawekezaji na nchi ikibaki tupu,..
wawekezaji wanachimba hadi udongo wanaondoka nao na kutuachia mashimo kwetu yaliyotukuka,.....
hivi hii nchi viongoz wake wakoje?????
hata kenya wanatuzidi ujanja,..kuna mtu humu jf alisema wakenya wanachukua udongo wa madini kwenye maroli wanasafirisha kwao kenya kutoka moshi,....kweli TZ tumefikia hatua viongoz wamekosa uzalendo namna hii?????
nilipata hope kidogo rais JPM alivyosema kuwa atshughulikia mikataba ya madini yote na atasimamia sekta zote za kuingiza pato nchini,.Lakini sioni nia hata chembe,..madini watu bado wanapiga,..bandari kule ticts kumebinafsishwa..hizi ni baadhi ya rasilimali kwa uchache
1: Dhahabu
2: Almasi
3: Tanzanite
4: Uranium ipo Lindi na Selous
5: Gas ya mtwara na pwani
6: Makaa ya Mawe
7: Chuma
8: mbuga za kutosha
9: Samaki...
10: mlima Kilimanjaro wa kwanza afrika
11: Ngorongoro Crater
12: bahar-Bandari ya dsm,mtwara,kigoma,tanga pia samaki zipo za kutosha,.....
Viongozi wangekuwa wazalendo nchi ingeendeshwa na bandari tu na inawezekana maana bandari ikisimamiwa vizuri tunapata matrillions ya pesa,...lkn viongoz wasio na maono wapo
na wamepita hawakuwa na mpya zaidi ya upigaji kujineemesha,.......
Tukijumlisha na kodi inayokusdanywa kwa mwezi ya trillion 1.1 nchi inaeza kwenda bila mikopo maana rasilimali za nchi hazisimamiwi vizuri na hicho ndicho chanzo cha umaskini.........
VIONGOZ TUWE WAZALENDO KWA NCHI YETU TURIDHIKE NA TUNACHOPATA KUTOKA KTK MISHAHARA.............tz ni nchi tajiri zaidi ya ujuavyo.....
hii ni list ya 2010

hii ni list ya mwaka2015
- AfghanistanKabul
- AngolaLuanda
- BangladeshDhaka
- BeninPorto-Novo
- BhutanThimphu
- Burkina FasoOuagadougou
- BurundiBujumbura
; - CambodiaPhnom Penh
- Cape VerdePraia
- Central African RepublicBangui
- ChadN'Djamena
- ComorosMoroni
; - 13
Democratic Republic of the CongoKinshasa
- DjiboutiDjibouti
- Equatorial GuineaMalabo
EritreaAsmara
- EthiopiaAddis Ababa
- GambiaBanjul
- GuineaConakry
- Guinea-BissauBissau
- HaitiPort-au-Prince
- KiribatiSouth Tarawa
- LaosVientiane
- LesothoMaseru
- LiberiaMonrovia
MadagascarAntananarivo
- MalawiLilongwe
- MaldivesMalé
- MaliBamako
; - 30
MauritaniaNouakchott
- MozambiqueMaputo
- MyanmarNaypyidaw
- NepalKathmandu
- NigerNiamey
- RwandaKigali
- SamoaApia
- São Tomé and PríncipeSão Tomé
- SenegalDakar
- Sierra LeoneFreetown
- Solomon IslandsHoniara
- SomaliaMogadishu
; - 42
SudanKhartoum
- Timor-LesteDili
- TogoLomé
- TuvaluFunafuti
- 46
UgandaKampala
; - 47
TanzaniaDodoma
; - 48
VanuatuPort Vila
; - 49
YemenSana'a
- ZambiaLusaka