Nchi 5 za Afrika menye maisha rahisi

Nchi 5 za Afrika menye maisha rahisi

1.Libya

2.Egypt

3.Madagasca

4.Rwanda

5.Tanzania.

My Take
Kati ya Nchi zote hapo Juu hakuna hata Moja inayoifikia Tanzania Kwa unafuu wa Maisha.Waliopanga jedwali wakapange upya.

Mwisho pamoja na huu ukweli Cha ajabu Machadema watabisha.

View: https://www.instagram.com/p/DUzuc3TCOPO/?igsh=NXM0M3o3dW5wdWsw

yaani wewe kupewa ajira na ABDUL ndiyo unaona kila mtu TZ ana maisha rahisi? Zunguka ujionee siyo umejifungia mikocheni na bando la bure kutoka kwa ABDUL unachukulia life simple.
 
yaani wewe kupewa ajira na ABDUL ndiyo unaona kila mtu TZ ana maisha rahisi? Zunguka ujionee siyo umejifungia mikocheni na bando la bure kutoka kwa ABDUL unachukulia life simple.
Watz mna maneno makali, punguzeni basi mnatesa machawa 😂😂
 
Kwa upande wa chakula Tanzania haina mpinzani kwa urahisi. Yaani ni nchi ambayo chakula ni sawa na bure. Bei rahisi mno.
Sio tuu chakula Kwa vitu vingi,hizo index hapo ni average ya items kadhaa na food ikiwemo.
 
Nen

Nenda egypt kisha ndio ulete uzi wa majibu. Unaijua egypt wewe? Urahisi wa maisha pale upo wapi?
Sio Mimi nimeandika hiyo article,ungesoma Hadi mwisho usingeniuliza Hilo swali maana hata Mimi nimeonesha wasiwasi mkubwa.
 
Back
Top Bottom