Nchi 22 zaweka order ya kununua drone za Iran kwa jinsi zinavyoichakaza Ukraine

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
NCHI 22 DUNIANI ZATOA MAOMBI KWA IRAN KUNUNUA DRONES ZA KIVITA.

Mshauri wa jeshi la Iran ametamka leo hii kwamba, kuna nchi 22 zimetoa maombi ya kununua drones za kivita nchini Iran. Nchi hizo zimevutiwa na utendaji kazi wa drones za Iran mara baada ya kuona jinsi zinavyoshambulia nchini Ukraine.

Ukraine kwasasa imekuwa ni nchi ya majaribio ya silaha kutoka mataifa makubwa duniani na sasa Iran inajipatia wateja kwa drones zake za kivita vinazotengenezwa nchini Iran licha ya kuwekewa Vikwazo na Marekani kwa zaidi ya miaka 42 sasa.
1666163521019.jpg
 
Russia hii vita hashindi, ila Tanzania tunaumia na tutaumia mno na vita hii, maana wengi tumekalia kushabikia na sio kuangalia opportunities ili nchi inufaike, soma hii Mozambique 🇲🇿 umekamilisha kujaza meli yake ya kwanza ya LNG kutoka Ruvuma basin,tayari kupelekwa western Europe,mitandao ya working class wa kimozambique wanajadili jinsi ya kutumia gas yao to make usd, na siku Israel 🇮🇱 ikiipa Ukraine 🇺🇦 frequencies za drone hizi za Iran,mchezo utaishia hapo, Israel anafanya balancing act maana hataki awe adui wa Russia 🇷🇺, hizi drone sio invincible
 
NCHI 22 DUNIANI ZATOA MAOMBI KWA IRAN KUNUNUA DRONES ZA KIVITA.

Mshauri wa jeshi la Iran ametamka leo hii kwamba, kuna nchi 22 zimetoa maombi ya kununua drones za kivita nchini Iran. Nchi hizo zimevutiwa na utendaji kazi wa drones za Iran mara baada ya kuona jinsi zinavyoshambulia nchini Ukraine.

Ukraine kwasasa imekuwa ni nchi ya majaribio ya silaha kutoka mataifa makubwa duniani na sasa Iran inajipatia wateja kwa drones zake za kivita vinazotengenezwa nchini Iran licha ya kuwekewa Vikwazo na Marekani kwa zaidi ya miaka 42 sasa.
View attachment 2391751
Sawasawa
 
NCHI 22 DUNIANI ZATOA MAOMBI KWA IRAN KUNUNUA DRONES ZA KIVITA.

Mshauri wa jeshi la Iran ametamka leo hii kwamba, kuna nchi 22 zimetoa maombi ya kununua drones za kivita nchini Iran. Nchi hizo zimevutiwa na utendaji kazi wa drones za Iran mara baada ya kuona jinsi zinavyoshambulia nchini Ukraine.

Ukraine kwasasa imekuwa ni nchi ya majaribio ya silaha kutoka mataifa makubwa duniani na sasa Iran inajipatia wateja kwa drones zake za kivita vinazotengenezwa nchini Iran licha ya kuwekewa Vikwazo na Marekani kwa zaidi ya miaka 42 sasa.
View attachment 2391751
hiyo miguu ya ndege ni km ile ya meza za chuma angalien vzr
 
Russia hii vita hashindi, ila Tanzania tunaumia na tutaumia mno na vita hii, maana wengi tumekalia kushabikia na sio kuangalia opportunities ili nchi inufaike, soma hii Mozambique 🇲🇿 umekamilisha kujaza meli yake ya kwanza ya LNG kutoka Ruvuma basin,tayari kupelekwa western Europe,mitandao ya working class wa kimozambique wanajadili jinsi ya kutumia gas yao to make usd, na siku Israel 🇮🇱 ikiipa Ukraine 🇺🇦 frequencies za drone hizi za Iran,mchezo utaishia hapo, Israel anafanya balancing act maana hataki awe adui wa Russia 🇷🇺, hizi drone sio invincible
kumbuka pia hizihizi zililipua mitambo ya mafuta saud arabia,na patriot za USA zikabaki zimeduwaa.
 
NCHI 22 DUNIANI ZATOA MAOMBI KWA IRAN KUNUNUA DRONES ZA KIVITA.

Mshauri wa jeshi la Iran ametamka leo hii kwamba, kuna nchi 22 zimetoa maombi ya kununua drones za kivita nchini Iran. Nchi hizo zimevutiwa na utendaji kazi wa drones za Iran mara baada ya kuona jinsi zinavyoshambulia nchini Ukraine.

Ukraine kwasasa imekuwa ni nchi ya majaribio ya silaha kutoka mataifa makubwa duniani na sasa Iran inajipatia wateja kwa drones zake za kivita vinazotengenezwa nchini Iran licha ya kuwekewa Vikwazo na Marekani kwa zaidi ya miaka 42 sasa.
View attachment 2391751
Mkuu 56% drone za Iran zimeangushwa Kyiv na utashangaa zimeangushwa katika hali ambayo Kyiv hawakuwa wakijua kama usiku wa leo tutashambuliwa, na kwamba sasa mitambo inafungwa zaidi ya anga kumaliza hizi chokochoko.

Silaha ambayo mpaka sasaiv inamtesa Russia na hajaipatia mbadala wake na imemuumiza na kuendelea kumuumiza ambayo imepata soko duniani ni HIMARS iliyotoka Marekani.,

Taiwan wananunua mitambo ya HIMARS kama njugu, ambapo kabla walikuwa na oder ya silaha nyengine lakini baada ya kuona mafanikio ya HIMARS wanazivamia kwa mzo ili yule mchina, mtengeneza baiskeli na pikipiki akileta za kuleta aweze kushughulikiwa vigorously.

Jaribu kuperuzi emu kule Kharson jana kamanda wa Urusi amekiri hali ni ngumu sana HIMARS zimesababisha urusi kuhamisha raia wao kwa mara ya kwanza ili wakaishi karibu na Putin mana hayo majimbo ni kaa la moto hayakaliki, mamluki wamelazimia kurudi kwao russia.

ussian forces have been driven back by an ongoing Ukrainian offensive and are at risk of being trapped against the Dnieper River.

The new commander of Russian forces in Ukraine says the situation in the Kherson region has become “very difficult” as Ukrainian forces push ahead with an offensive to take back southern and eastern areas of the country and that Moscow was preparing to evacuate civilians, weeks after annexing the area.

Sergei Surovikin, a Russian air force general appointed on October 10 to lead the invasion, said the situation in Kherson was “very difficult” for both civilians and Russian soldiers.

lation” of Kherson, Surovikin told state television Rossiya 24.

“The enemy is not abandoning its attempts to attack Russian troop positions,” he added.

Russian forces in the region have been driven back 20 to 30 kilometres (13-20 miles) in the last few weeks and are at risk of being pinned against the western bank of the 2,200km (1,367-mile) Dnieper River that bisects Ukraine.

Surovikin said Russian positions in the towns of Kupiansk and Lyman in eastern Ukraine and the area of northern Kherson between Mykolaiv and Kryvyi Rih were under continuous attack.

“The situation in the area of the ‘special military operation’ can be described as tense,” Surovikin told Rossiya 24 using Moscow’s official terminology for the February 24 invasion.

cupied Ukrainian provinces Russia claims to have annexed and arguably the most strategically important. It controls both the only land route to the Crimean Peninsula, which Russia seized in 2014, and the mouth of the Dnieper.

After staging referendums in September that Ukraine and its allies said were illegal and coercive, Putin proclaimed the annexations of the eastern border provinces of Donetsk and Luhansk – together forming the Donbas industrial region – as well as Kherson and Zaporizhia in the south.

‘No place for civilians’

Vladimir Saldo, the Kremlin-installed head of the Kherson region, said the authorities had decided to evacuate some civilians because of the risk of attack by the Ukrainian military.

“The Ukrainian side is building up forces for a large-scale offensive,” Saldo said in a video statement. The Russian military was preparing to repel the offensive, he said, and “where the military operates, there is no place for civilians. Let the Russian army fulfil its task”.

Ukraine and Russia have denied targeting civilians, although Kyiv has accused Moscow’s forces of war crimes.

Surovikin appeared to concede that there was a danger of Ukrainian forces advancing towards the city of Kherson, which Russia captured largely unopposed in the early days of the invasion.

Surovikin has been nicknamed “General Armageddon” in Russian media after serving in Syria and Chechnya, where his forces pounded cities to rubble in a brutal scorched earth policy against its foes.

His appointment was rapidly followed by the biggest wave of missile attacks against Ukraine since the start of the war.

The raids continued this week, with Ukrainian officials saying they are being conducted with Iranian-made Shahed-136 “kamikaze drones“, which fly into their target and detonate.

Iran denies supplying the drones and on Tuesday the Kremlin denied using them.

“Russian tech is being used,” Kremlin spokesman Dmitry Peskov said, referring other questions to the defence ministry.

However, two senior Iranian officials and two Iranian diplomats told the Reuters news agency that Tehran had promised to provide Russia with more drones as well as surface-to-surface missiles.

Russia has destroyed nearly one-third of Ukraine’s power stations in the past week, according to Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy. Speaking in his nightly video address, he urged Ukrainians to cut back on electricity consumption in the evenings.
 
kumbuka pia hizihizi zililipua mitambo ya mafuta saud arabia,na patriot za USA zikabaki zimeduwaa.
Mkuu vita sio ya kushabikia,hii ndio bottom line!,President wa USA pamoja na ulinzi wote ule anaopewa lakini wapo waliofanikiwa kumuua,ulinzi wa President wetu awamu ya 5 ulikua wa kutisha but.....this is a debate for another day, believe Israel wana codes za drones hizi lakini haina maana wana uwezo wa kuzizuia zote kama zinaelekezwa Israel, zitakuwepo zitakazofika Maccabi, tulime ngano ili tuuze, gas yetu tuanze kuuza huu ndio wakati wa to make money, sio kushabikia vita
 
Wanatumia Processor zinazotengenezwa Marekani Na kampuni iliopo jimbo la Texas
 
Mkuu 56% drone za Iran zimeangushwa Kyiv na utashangaa zimeangushwa katika hali ambayo Kyiv hawakuwa wakijua kama usiku wa leo tutashambuliwa, na kwamba sasa mitambo inafungwa zaidi ya anga kumaliza hizi chokochoko.

Silaha ambayo mpaka sasaiv inamtesa Russia na hajaipatia mbadala wake na imemuumiza na kuendelea kumuumiza ambayo imepata soko duniani ni HIMARS iliyotoka Marekani.,

Taiwan wananunua mitambo ya HIMARS kama njugu, ambapo kabla walikuwa na oder ya silaha nyengine lakini baada ya kuona mafanikio ya HIMARS wanazivamia kwa mzo ili yule mchina, mtengeneza baiskeli na pikipiki akileta za kuleta aweze kushughulikiwa vigorously.

Jaribu kuperuzi emu kule Kharson jana kamanda wa Urusi amekiri hali ni ngumu sana HIMARS zimesababisha urusi kuhamisha raia wao kwa mara ya kwanza ili wakaishi karibu na Putin mana hayo majimbo ni kaa la moto hayakaliki, mamluki wamelazimia kurudi kwao russia.

ussian forces have been driven back by an ongoing Ukrainian offensive and are at risk of being trapped against the Dnieper River.

The new commander of Russian forces in Ukraine says the situation in the Kherson region has become “very difficult” as Ukrainian forces push ahead with an offensive to take back southern and eastern areas of the country and that Moscow was preparing to evacuate civilians, weeks after annexing the area.

Sergei Surovikin, a Russian air force general appointed on October 10 to lead the invasion, said the situation in Kherson was “very difficult” for both civilians and Russian soldiers.

lation” of Kherson, Surovikin told state television Rossiya 24.

“The enemy is not abandoning its attempts to attack Russian troop positions,” he added.

Russian forces in the region have been driven back 20 to 30 kilometres (13-20 miles) in the last few weeks and are at risk of being pinned against the western bank of the 2,200km (1,367-mile) Dnieper River that bisects Ukraine.

Surovikin said Russian positions in the towns of Kupiansk and Lyman in eastern Ukraine and the area of northern Kherson between Mykolaiv and Kryvyi Rih were under continuous attack.

“The situation in the area of the ‘special military operation’ can be described as tense,” Surovikin told Rossiya 24 using Moscow’s official terminology for the February 24 invasion.

cupied Ukrainian provinces Russia claims to have annexed and arguably the most strategically important. It controls both the only land route to the Crimean Peninsula, which Russia seized in 2014, and the mouth of the Dnieper.

After staging referendums in September that Ukraine and its allies said were illegal and coercive, Putin proclaimed the annexations of the eastern border provinces of Donetsk and Luhansk – together forming the Donbas industrial region – as well as Kherson and Zaporizhia in the south.

‘No place for civilians’

Vladimir Saldo, the Kremlin-installed head of the Kherson region, said the authorities had decided to evacuate some civilians because of the risk of attack by the Ukrainian military.

“The Ukrainian side is building up forces for a large-scale offensive,” Saldo said in a video statement. The Russian military was preparing to repel the offensive, he said, and “where the military operates, there is no place for civilians. Let the Russian army fulfil its task”.

Ukraine and Russia have denied targeting civilians, although Kyiv has accused Moscow’s forces of war crimes.

Surovikin appeared to concede that there was a danger of Ukrainian forces advancing towards the city of Kherson, which Russia captured largely unopposed in the early days of the invasion.

Surovikin has been nicknamed “General Armageddon” in Russian media after serving in Syria and Chechnya, where his forces pounded cities to rubble in a brutal scorched earth policy against its foes.

His appointment was rapidly followed by the biggest wave of missile attacks against Ukraine since the start of the war.

The raids continued this week, with Ukrainian officials saying they are being conducted with Iranian-made Shahed-136 “kamikaze drones“, which fly into their target and detonate.

Iran denies supplying the drones and on Tuesday the Kremlin denied using them.

“Russian tech is being used,” Kremlin spokesman Dmitry Peskov said, referring other questions to the defence ministry.

However, two senior Iranian officials and two Iranian diplomats told the Reuters news agency that Tehran had promised to provide Russia with more drones as well as surface-to-surface missiles.

Russia has destroyed nearly one-third of Ukraine’s power stations in the past week, according to Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy. Speaking in his nightly video address, he urged Ukrainians to cut back on electricity consumption in the evenings.
Ww jamaa uko sawa kweli kichwani?
Kwa hiyo siku hizi adui akitaka kukushambulia ana kupa taarifa ili ujipange?
Kwanza nashindwa kuelewa ni vipi wana dhindwa kuzizuia wakati kabla ya kushambulia huwa zina zunguka angani zaidi ya dakika 10 ili kutafuta target.
 
Ww jamaa uko sawa kweli kichwani?
Kwa hiyo siku hizi adui akitaka kukushambulia ana kupa taarifa ili ujipange?
Kwanza nashindwa kuelewa ni vipi wana dhindwa kuzizuia wakati kabla ya kushambulia huwa zina zunguka angani zaidi ya dakika 10 ili kutafuta target.
Ndio mana tunasema 56% ya hizo drons zimeangushwa chini, wakafanikiwa kuangusha majengo ya raia na kuua 19, huku ni kufeli kwa russia hajuulikani sasa anataka nini
 
Back
Top Bottom