NCCR-Mageuzi wajipanga kumpokea LOWASA.

NCCR-Mageuzi wajipanga kumpokea LOWASA.

Sidhani kama hilo linawezekana. Why? It is very risk for him. How? Anajua madhira ya kuwa mpinzani hapa Tanzania.

Kwa sasa Lowassa anajipanga kugombea urais kwa tiketi ya CCM na kama akiwekewa mizengwe atagombea kama mgombea binafsi.
Kuna tetesi kuwa Mpaka sasa kuna taasisi zaidi ya 300 nyingi zikiwa za Kidini na kijamii ambazo zimelidhia kumuunga mkono kwa hali na mali katika mbio zake za urais.
 
kuna taarifa kuwa waziri aliyejiudhuru edward lowasa akipigwa chini kura za maoni CCM 2015 atajiunga na chama cha NCCR-mageuzi ili kugombea nafasi ya urais, kutoka ndani ya habari mazungumzo yameanza kufanyika.[[] WAKYERA WAIITU AGENDAGE
 
Kwanini asubirie hadi atoswe CCM ndio ahamie NCCR?Mm naona kama kweli yeye hapendi magamba ajitoe sasa.
 
Back
Top Bottom