bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Nimepata taarifa kuwa viongozi wa juu wa NCCR Mageuzi leo usiku saa mbili unusu watakuwa kwenye kipindi cha Mlimani TV live wakizungumzia hali ya mambo ndani ya chama chao baada ya kufukuzwa Kafulila. Mmoja wa watakaokuwepo kipindini ni katibu mkuu wa chama hicho taifa